Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Emotionally and time wastage? Sasa mkuu Nina M15 hapa we unaniambia nimepoteza muda? Hahakwahio mwezi wa 8 ndio kutakuwa na ups and ups au anaweza kupoteza ikabaki 500K akaamua kuacha kabisa, okay hajapoteza financially what about emotionally and time wastage
Bora umwambie huyu mshikaji aisee,Hakuna TIPS ZA UHAKIKAAA...KUUZA TIPS NI UTAPELIII
Tena Mkubwa sana!!! Na wanaouziwa wanakuaga mayumbu kweliKuwauzia watu tips ni Utapelii piaaa..
kwahio mwezi wa 8 ndio kutakuwa na ups and ups au anaweza kupoteza ikabaki 500K akaamua kuacha kabisa, okay hajapoteza financially what about emotionally and time wastage
Asithubutu iyo 15m bora awekeze sehemu, alaf iyo faida itokanayo na uwekezaji ndo abetie, achana na mhindi itarudi kwake yoteMkuu kwanini usisuke mkeka wa hiyo Milioni 15 mmoja tu upate zaidi???
[emoji23][emoji23] huwezi amini nilianziaga 20K nikapanda mpaka laki 6 ila kazi ilivyoanza mpaka sasa nina senti tu.Asithubutu iyo 15m bora awekeze sehemu, alaf iyo faida itokanayo na uwekezaji ndo abetie, achana na mhindi itarudi kwake yote
Jamaa apige chai kwanza anaelekea kudataTime wastage?? [emoji23][emoji23] bro you need some milk.
last time nimeweka kumi wakapitia dah! nikaingia uogaBuku au jero sio mzee, panda walau buku 5
Sio mjinga kiasi hiko, kuna mradi nishauandaa wa hio hela, ntakuja tena kuanza na mtaji wa 500k nikianza bet tenaAsithubutu iyo 15m bora awekeze sehemu, alaf iyo faida itokanayo na uwekezaji ndo abetie, achana na mhindi itarudi kwake yote
yaa vizur haina shida lig zenyew ndo zinaishaNtaanda though ni kama ushauri tu maana hakuna a sure way
Betting haitaki hivi, utaishia kuona watu wakikenua tu.last time nimeweka kumi wakapitia dah! nikaingia uoga
Kanji sio poaaa....last time nimeweka kumi wakapitia dah! nikaingia uoga
ulikuwa unatumia mkakati gani mkuu... tupeane uzoefu!Mimi nilienda nikafika 1.7M kwa mtaji wa laki...nikaingia tamaa yaliyonikuta siri yangu