Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

na
Mkuu don't waste your breathe kwa huyu jamaa, wabongo bana wajuaji sana ila practically hewa, muache ye akalime mahindi, watu wanataka no-risks investments hawajui kua hakuna kitu kama hicho!! On the other side, hata kulima ni betting tu, kuna faida au hasara... nlichogundua mkuu huyo ndezi anapenda kazi za kutumwa na kuagizwa...hakuna raha kama kuingiza hela mda unaotaka wewe na kupumzika mda unaotaka..ikiwa kazi yako ni kubet unaeaza kuamua sasa wiki ijayo niende china tena bila kumuomba ruhusa mtu anaetwa boss..na kurud mda unaoutaka....UTAJIRI WA KWELI NI KUWA NA PESA +MUDA....MTU ASIPOTUMIA AKILI ZAKE,WAJANJA WATAMSAIDIA KUZITUMIA...There is no stupid employer to pay huge amount of salaries to his/her workers so as not to make them quit....
 
unaun
Kampuni zote kubwa kama skybet, bet365, Ladbrokes wana kitu kinaitwa 'betting limit' hii ni kutokana na kwamba wana accept big stakes, mtu anaweza wager paundi laki 5 per bet, sasa hawa majamaa wakiona mtu anawala sana wanampa limit ya kubet kwenye account yake,,Mara nyingi utakuta huwezi kubeti zaidi ya £5 per bet, hii ni sawa na kumfukuza tu

Kuna watu wengi wamewapiga sana hawa majamaa wakawekewa vikwazo ili waache kubet, maana hizi kampuni zinapenda loosers peke yake
unakuta mtu anajua fixed game..af anaeka mzegoo mzito...akiwapga lazima wamuekee limit..au waungane nae kama premier na dk leakey
 
Kila bet unayoiona hapo kuna kodi imekatwa, ivo ujue kabisa katika mda wake wote , kubeti hadi kufikisha hicho kiasi jua anechangia pakubwa sana kama mtu mmoja kwenye pato la taifa.
Sijauliza amechangia nini kwenye makusanyo ya taifa, maana hiyo ni kutoa pesa mkono wa kulia na kupeleka wa kushoto.Nauliza, AMEZALISHA NINI kwenye uchumi wa taifa?
 
Asante kwa kunipa pole, ila ndo hivo nimepata kiasi na ntafanya kitu ambacho kitakuja kusaidia hata kizazi changu

The house always win huh? Ila naamini I'll defy the odds, kwasababu najua Nina displine ya hatari... Ngoja niachane na your negativity nifurahie nilichonacho sasa

Tukutane msimu ukianza august, cheers
Kwenye Bold umeshaongea utafanya kitu kitakachosaidia kizazi chako.., something ambayo ni fair playing field na ina guarantee kubwa na moderate risk.., ungesema huo mtaji wote utaendelea na strategy zako , hata kama unatumia money management schemes, na stake plans in the long run utapoteza tu..., why ? the odds are staked against you ?; hata ukipata bilioni leo if you carry on long enough utapoteza au hata ukipata unaweza ukajikuta in ten years profit / loss una faida ya 1M sasa gawia hio na 10 years its about Laki moja kwa mwaka faida..., Je hio faida is it worth ups and down emotionally ? au ni Chanzo cha Ugonjwa wa Moyo...

That's why nimesema this is leisure sio biashara ya kutegemea and its addictive as hell..., na the more you win the more you think you are unbeatable, increase stakes and one you get hit (which eventually you will)...., you will never forget, both financially and emotionally
 
wewe ndo mcheza kamari sasa.
dau kubwa,pesa kubwa.
sio unaweka 5000.ikiliwa unapata presha
 
Sijauliza amechangia nini kwenye makusanyo ya taifa, maana hiyo ni kutoa pesa mkono wa kulia na kupeleka wa kushoto.Nauliza, AMEZALISHA NINI kwenye uchumi wa taifa?
Kwanini tumekuwa Taifa la chuki, husda na wivu katika maendeleo?
 
u

ukiwa hujui kitu haimaanishi icho kitu hakiwezekani...its matter of how far your mind can go into that bussiness....unaogopa stake iyo.m?ukiona stake za kina wilson perumal si utaandamana wewe
Nani anajua na anafanyaje.., huwezi kuniambia kwamba tucheze mchezo wenye probability ya matokeo aina tatu au mbili wewe ukishinda nakupa 60% mimi nikishinda unanipa 30% alafu useme long term hicho kitu kinawezekana wewe kumshinda mwenye mchezo..., for your information nina about 40 documents za betting systems and strategies na nyingine ambazo theoretically mwisho wa siku utashinda (not practically) na zote mwisho wa siku they are doomed to failure..., if you want to play cheza kama game (leisure) its neither a business nor money making scheme..
 
you repeat..??wew ni nani.?? ukisema wew kitu ndo kinakua hakiwezekanii.!??oooh my balls ..you are the cause of trump' trash words to africa homie..with yo narrow mind dude....unamjua bill walters wew..wilson perumal....dan tan or uncle raj...unajua kwanin dk leakey aliajiriwa premier bet..!!? kama hujui kaa kimyaaaa...acha watu na kaz zao...eti fibbonach..ujinga wa forex usiulete hapa
finabonacci kumbe hata hujui maana yake mkuu it can even be applied in football...

Dr Leakey kama anaweza ku beat the system kwanini aliajiliwa premier bet ? tunaongelea mathematics mkuu you can beat something against your odds in long term...

"The Fibonacci betting strategy in soccer is based on the idea of betting on a draw, and if you lose your soccer bet, then wager on the next one.
The repeated approach to this strategy plays out until you win. But there are two critical rules to follow:
  1. Bet on a soccer draw when the statistical probability is above 2.618
  2. Increase your stake that follows the Fibonacci sequence of 1, 1, 2, 3, 5, 8, 13, 21, and so forth.
The betting principle here comes from the theory that the soccer draw is the most difficult for online sportsbooks and bookmakers to predict the outcome…thus its much easier to be exploited.
Like other similar sports betting strategies, the principle holds that as long as you continually increase your stake, any win will overcome the previous losses."
https://www.intelligentbettingtips....er-betting-system-fibonacci-betting-strategy/
 
Nani anajua na anafanyaje.., huwezi kuniambia kwamba tucheze mchezo wenye probability ya matokeo aina tatu au mbili wewe ukishinda nakupa 60% mimi nikishinda unanipa 30% alafu useme long term hicho kitu kinawezekana wewe kumshinda mwenye mchezo..., for your information nina about 40 documents za betting systems and strategies na nyingine ambazo theoretically mwisho wa siku utashinda (not practically) na zote mwisho wa siku they are doomed to failure..., if you want to play cheza kama game (leisure) its neither a business nor money making scheme..
...ckulaumu maana akili yako iliamua kuishiaa kwenye izo computer models....sasa ujinga huo nshauacha zamani sana.....niko mbele hatua mia .....kamtafte mtu anaitwa wilson perumal wa singapore na asia betting syndicate...ukisha study izo cases...ndo utaacha ushubwada unao uongea
 
Kwenye Bold umeshaongea utafanya kitu kitakachosaidia kizazi chako.., something ambayo ni fair playing field na ina guarantee kubwa na moderate risk.., ungesema huo mtaji wote utaendelea na strategy zako , hata kama unatumia money management schemes, na stake plans in the long run utapoteza tu..., why ? the odds are staked against you ?; hata ukipata bilioni leo if you carry on long enough utapoteza au hata ukipata unaweza ukajikuta in ten years profit / loss una faida ya 1M sasa gawia hio na 10 years its about Laki moja kwa mwaka faida..., Je hio faida is it worth ups and down emotionally ? au ni Chanzo cha Ugonjwa wa Moyo...

That's why nimesema this is leisure sio biashara ya kutegemea and its addictive as hell..., na the more you win the more you think you are unbeatable, increase stakes and one you get hit...., you will never forget both financially and emotionally
Mkuu I have read a thousand of articles, on the long run najua ni ngumu kuwapiga hawa watu, that is if you keep on placing bets after bets, they'll nail you somewhere...

Shida ni kwamba nimeweka some tickets za April maana zilikua easy to find, huko January I was more keen, nilipopata faida kubwa nikawa na uwezo wa kustake hata 1.5M per bet maana I could afford to lose it, kama umenisoma vizuri nimestate kwamba I feel my game has been down lately... And I can do what most can't 'walking away' ndo maana nikasema ntaanza kubet tena august ligi zikianza....

What you are telling me is a reputation of what I already know
 
Back
Top Bottom