Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Mkuu I repeat no one makes long term money in any football system long term.., its mathematically impossible.., nishafanya research ya all so called systems iwe fixed betting au kutumia kina fibonacci, martingale, hadi kwenye in play backing and laying..., watu wanao make fortunes ni bookmakers na wanaouza system kwa watu juu ya betting.

huwezi ukasema unamake fortune hata ungekuwa una billion ishirini na unabet Timu kama Real Madrid au Man City au Barcelona zenye 95% za kushinda odds sababu ni ndogo hata ukishinda mara 19 ile ya 20 bahati mbaya ukishindwa ukipiga hesabu if you are lucky unaweza ukajikuta umeshinda 10% au umebreak even realistically utajikuta umeloose big time; na hapo kama una-bet Africa haujaweka kodi (Tax on Winning) kwahio hizo odds unazoziona after Tax hio 1.5 au 2.5 sio hio bali ni way less....Its not a business if anytime you can loose all of your cash niambie ni nani kazi yake ni betting na anaishi kwa hizo betting na sio kuuza vitabu, systems au Tips
you repeat..??wew ni nani.?? ukisema wew kitu ndo kinakua hakiwezekanii.!??oooh my balls ..you are the cause of trump' trash words to africa homie..with yo narrow mind dude....unamjua bill walters wew..wilson perumal....dan tan or uncle raj...unajua kwanin dk leakey aliajiriwa premier bet..!!? kama hujui kaa kimyaaaa...acha watu na kaz zao...eti fibbonach..ujinga wa forex usiulete hapa
 
Mkuu tupo pamoja mm nimeanza kubet tangu 2013, nimetoka tz nipo huku Europe nabet kupitia bet365, betway
Nakulaga ma euro tu Ila kuliwa Siku zingine kawaida
Bongo huwa nilikuwa natumia premier BET Ile ya kubetia kwenye mashine unapata tickets za karatasi baadae ukila unaenda ofis Zao Ku withdraw
Bet Ni nzuri ukiwa na malengo
 
Mnatuharibia vijana hawataki kazi, wamebakia kubet!!
Kwa mujibu wa akili zako ndogo utaona hivyo kubet Ni kaz Kama kaz zingine
Nipo ulaya huku watu wanabet na wanalipa Kodi Tena kubwa Sana,wewe endelea kukariri kuwa kazi Ni kulima mahindi kwa mbolea ya. Tsh 60000 mfuko alafu unauza debe 5000,watu Wana plan hawana akili mgando
 
h
mkuu hajielewii huyoo ..yani kwa mentality yake hata nikikuta kakabwa na chatu mi nashangilia chatu aendelee kumkaba tu
Hajui kinachozungumzwa hapa, kadandia treni kwa mbele. Kurudisha mtaji wa betting mathematically ni siku Moja au mkeka mmoja tu kama mkeka wako una odds kuanzia 2 na kuendelea. Sasa sijui hiyo anayoisemea yeye anapata Wapi.

Labda Kama anabet odds 1.01 kila mkeka ndio unaweza ukapoteza mtaji uliokusanya mwezi mzima kwa loose ya mara moja tu
 
you repeat..??wew ni nani.?? ukisema wew kitu ndo kinakua hakiwezekanii.!??oooh my balls ..you are the cause of trump' trash words to africa homie..with yo narrow mind dude....unamjua bill walters wew..wilson perumal....dan tan or uncle raj...unajua kwanin dk leakey aliajiriwa premier bet..!!? kama hujui kaa kimyaaaa...acha watu na kaz zao...eti fibbonach..ujinga wa forex usiulete hapa
Mkuu don't waste your breathe kwa huyu jamaa, wabongo bana wajuaji sana ila practically hewa, muache ye akalime mahindi, watu wanataka no-risks investments hawajui kua hakuna kitu kama hicho!! On the other side, hata kulima ni betting tu, kuna faida au hasara!
 
Mkuu pole sana tena pole sana..., hapo nimefungua screen shot moja una wager mpaka 1.5m kwa wakati mmoja sasa with that amount of risk kwenye game moja na miezi minne una 10 times the amount ambayo sometimes unaweka in single bet kwakweli its a road to disaster...,

Kwa ushauri the house always win in the end hata kama leo ungepata millioni mia moja..., ukibet for a long time hio milioni mia moja itarudi kwao..., why ? Mathematically the Odds are against you..., labda ungekuwa unafanya Surebets kwenye different bookmakers ingawa nayo ni ngumu kupata good odds

Ushauri this is not business do it for leisure
mkuu acha wivu jaribu uone watu wanakuja na alogarithm zao na wana beat the system nothing is perfect ndo maaana hakuna system ni unpenetrateble ukitumia the same level of thinking iliotumika kucreate hiyo system you will never get out of the box mkuu think
 
sure
Mkuu don't waste your breathe kwa huyu jamaa, wabongo bana wajuaji sana ila practically hewa, muache ye akalime mahindi, watu wanataka no-risks investments hawajui kua hakuna kitu kama hicho!! On the other side, hata kulima ni betting tu, kuna faida au hasara!
sure mkuu...unasoma hupati ajira m.umebet...umelima kuna kupata na kukosa..uko ni kubet..umetembea na manzi..kupata ukimwi au uspate iyo nayo ni kubet...sasa koote uko inategemeana na measures ili kuweza kupunguza loss katka bet...mkuu kazi iendeleew
 
mkuu acha wivu jaribu uone watu wanakuja na alogarithm zao na wana beat the system nothing is perfect ndo maaana hakuna system ni unpenetrateble ukitumia the same level of thinking iliotumika kucreate hiyo system you will never get out of the box mkuu think
Kampuni zote kubwa kama skybet, bet365, Ladbrokes wana kitu kinaitwa 'betting limit' hii ni kutokana na kwamba wana accept big stakes, mtu anaweza wager paundi laki 5 per bet, sasa hawa majamaa wakiona mtu anawala sana wanampa limit ya kubet kwenye account yake,,Mara nyingi utakuta huwezi kubeti zaidi ya £5 per bet, hii ni sawa na kumfukuza tu

Kuna watu wengi wamewapiga sana hawa majamaa wakawekewa vikwazo ili waache kubet, maana hizi kampuni zinapenda loosers peke yake
 
Back
Top Bottom