Mtu ukiweka lakn upate 50 Ni chapu lakn ukiweka jero upate lakn maisha yako utakuwa unaisikia tu hyo laknUnabet lak aha ha a hauko serious hiyo pressure zaidi ya maji ya zima moto. Bet hero/buku update laki siyo kubet laki upate buku.utakuja kuongea barabarani peke yako.
Mkuu pole sana tena pole sana..., hapo nimefungua screen shot moja una wager mpaka 1.5m kwa wakati mmoja sasa with that amount of risk kwenye game moja na miezi minne una 10 times the amount ambayo sometimes unaweka in single bet kwakweli its a road to disaster...,
Kwa ushauri the house always win in the end hata kama leo ungepata millioni mia moja..., ukibet for a long time hio milioni mia moja itarudi kwao..., why ? Mathematically the Odds are against you..., labda ungekuwa unafanya Surebets kwenye different bookmakers ingawa nayo ni ngumu kupata good odds
Ushauri this is not business do it for leisure
mods msiunganishe huu uzi
Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..
Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..
Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...
Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza
The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august
Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza
Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records
Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo
Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....
Mkuu I repeat no one makes long term money in any football system long term.., its mathematically impossible.., nishafanya research ya all so called systems iwe fixed betting au kutumia kina fibonacci, martingale, hadi kwenye in play backing and laying..., watu wanao make fortunes ni bookmakers na wanaouza system kwa watu juu ya betting.usiwaogopeshe watu kwasababu wewe ilikushinda.people make fortunes out of gambling duniani kote na hii ni proffession kama nyingine tu,it takes alot of hours and patiency to master.wengi wanafeli sababu wanataka kutengeneza hela ya haraka kwa mtaji mdogo lakini pia hawataki kuinvest muda kwenye kupata taarifa sahihi za league trends
[emoji38][emoji28][emoji23] umetisha mkuuhyo ndo stratergy yangu na tangu nlivomaliza chuo 2016....maisha yanaenda kwa betting..kwa sasa naheshimu betting kuliko degree
alafu kuna mabata yanakazana ooh tuache kubet...tufanye kazi...hayo mambo ya kufanya kazi kwa juhudi ni industrial age ndo ilikua ufanye kaz sana upate hela sana..sasa ivi this is information age...watu wanaobet kama kaz wana mawe mbaya...mshahara wa profesa unaingizwa kwa dk 90..mama...eee
Hahaaaaakubet bhana ni disaster.. siku hiyo nimebakisha timu moja nile 950K, nikabeba washkaji pamoja na mchuchu wangu tukapige gambe maana hela ipo na first half results timu yangu ilikuwa inaongoza.. kula bata kwa sana nikisubiri mpunga wangu kwenye simu nikautoe chap kwa m pesa... weeeeeeee kilichotokea Allah anajua.
Yani usipoangalia unaweza kupata presha ya kujitakia. Now niko kwenye mchakato wa kuacha hayo makituHahaaaaa
Asante kwa kunipa pole, ila ndo hivo nimepata kiasi na ntafanya kitu ambacho kitakuja kusaidia hata kizazi changuMkuu pole sana tena pole sana..., hapo nimefungua screen shot moja una wager mpaka 1.5m kwa wakati mmoja sasa with that amount of risk kwenye game moja na miezi minne una 10 times the amount ambayo sometimes unaweka in single bet kwakweli its a road to disaster...,
Kwa ushauri the house always win in the end hata kama leo ungepata millioni mia moja..., ukibet for a long time hio milioni mia moja itarudi kwao..., why ? Mathematically the Odds are against you..., labda ungekuwa unafanya Surebets kwenye different bookmakers ingawa nayo ni ngumu kupata good odds
Ushauri this is not business do it for leisure
Haha, hawa majamaa wanafanya hustles in a way ordinary people can't imagineWall street unalitendea haki maana ya jina lako!!... Ilifaa ukaajiriwe pale Broad street au 48 Wall Street.
Mkuu jitahidi uweke trend ya kujua hesabu zako, hata kama ni kwa monthly basisWanasema the struggle is real mimi sioni tabu kuweka hata laki 2, na mda mwingi ninabutua tuuu, juzi nimeweka odds 8.kadhaa 150k arsenal tuu kaniua, hapo nilikuwa nivute kama 1.3M na sio mara moja nazivuta, hongera sana masta tatizo langu sijawahi kiweka hayo mahesabu ila madhani mhindi nimetandika zaidi ya 19M, ilannaye kanibutua kweli kweli ila haizidi hata milioni 3 ila si bet kila siku
Mkuu ukiwa na displine ana ela yako afu ukawa mvumilivu, matunda yapoalafu kuna mabata yanakazana ooh tuache kubet...tufanye kazi...hayo mambo ya kufanya kazi kwa juhudi ni industrial age ndo ilikua ufanye kaz sana upate hela sana..sasa ivi this is information age...watu wanaobet kama kaz wana mawe mbaya...mshahara wa profesa unaingizwa kwa dk 90..mama...eee
meridian betMkuu app gani hii
Ila si kuna turbo payout, unaweza Kuwithdraw kiasi flan kabla ya mechi kuishakubet bhana ni disaster.. siku hiyo nimebakisha timu moja nile 950K, nikabeba washkaji pamoja na mchuchu wangu tukapige gambe maana hela ipo na first half results timu yangu ilikuwa inaongoza.. kula bata kwa sana nikisubiri mpunga wangu kwenye simu nikautoe chap kwa m pesa... weeeeeeee kilichotokea Allah anajua.
Naweka izo stakes only when am winning, kumbuka siwezi deposit zaidi ya 500k!! Its well planned sidhani kama umeelewaHzo stake zako bob utakuja kulia kilio cha mbuzi siku moja.
Il big up
Nimeielewa pointi yako mkuu, unaweza ku a mtaalam wa mambo ya fedha wewe.Mkuu I repeat no one makes long term money in any football system long term.., its mathematically impossible.., nishafanya research ya all so called systems iwe fixed betting au kutumia kina fibonacci, martingale, hadi kwenye in play backing and laying..., watu wanao make fortunes ni bookmakers na wanaouza system kwa watu juu ya betting.
huwezi ukasema unamake fortune hata ungekuwa una billion ishirini na unabet Timu kama Real Madrid au Man City au Barcelona zenye 95% za kushinda odds sababu ni ndogo hata ukishinda mara 19 ile ya 20 bahati mbaya ukishindwa ukipiga hesabu if you are lucky unaweza ukajikuta umeshinda 10% au umebreak even realistically utajikuta umeloose big time; na hapo kama una-bet Africa haujaweka kodi (Tax on Winning) kwahio hizo odds unazoziona after Tax hio 1.5 au 2.5 sio hio bali ni way less....Its not a business if anytime you can loose all of your cash niambie ni nani kazi yake ni betting na anaishi kwa hizo betting na sio kuuza vitabu, systems au Tips