Habarini ndugu wa jukwaa hili la Tech, nimeleta mfumo wa usimamizi wa taasisi za kidini hususani makanisa.
Kwa kipindi kirefu taasisi nyingi za kidini hasa makanisa hayajawa na mifumo rasmi ya usimamizi wa taarifa zake. Hivyo nikaamua kuunda mfumo ambao utawezesha hilo ambapo kwa sasa mfumo huu unakuwezesha kufanya yafuatayo:
1. Kusimamia taarifa za washirika/waumini
2. Kusimamia taarifa za mapato (income)
3. Kusimamia taarifa za matumizi (Expenses)
4. Kutengeneza taarifa ya mapato na matumizi (Income & Expenditures report) ya kipindi chochote kwa dakika 1 tuu
5. Kuweza kuwasilisha taarifa yoyote kwa washirika kirahizi zaidi kupitia mfumo wa Bulk SMS (utaweza kutuma SMS kwa watu 1,000 ndani ya dakika 1)
6. Kuweza kuandaa annual work plan kirahisi na kupokea reminder kwa kila activity inapofika
7. Vikundi ndani ya kanisa (mfano vikundi vya vijana, wamama, wababa, watoto n.k), vitaweza kusimamia taarifa zao (taarifa za wanakikundi, taarifa za mapato na matumizi ya kikundi, taarifa za biashara ya kikundi kama ipo, Kuandaa annual work plan na kupata reminders SMS nk)
8. Kupitia CMIS utaweza kuhifadhi taarifa za kila mahudhurio ya washirika kwenye kila ibada
9. Utafutaji wa taarifa ni rahisi zaidi kuliko taarifa zilizo hifadhiwa kwenye vitabu au MS Excel
10. Taarifa zote zinazotunzwa kwenye CMIS haziwezi kupotea kwa kuwa zinahifadhiwa mtandaoni hivyo utazipata tena hata baada ya computer yako kupata tatizo
11. Uhifadhi wa document zote za taasisi.
Karibuni kuujaribu mfumo huu unaopatikana kwa address hii churchMIS - Church Management Information System
UPDATES
Kuna wengi ambao mmekuwa mkihitaji account ya majaribio, sasa ili kuepusha usumbufu wa kusajili account na kufuta nimetengeneza account za majaribio ambazo kila mmoja anaweza kuzitumia
account ya Finance
churchID 1096
Phone 255742600079
Passwors 1122
Account ya administrator
churchID 1096
Phone 255759891571
password 1122
Kwa kipindi kirefu taasisi nyingi za kidini hasa makanisa hayajawa na mifumo rasmi ya usimamizi wa taarifa zake. Hivyo nikaamua kuunda mfumo ambao utawezesha hilo ambapo kwa sasa mfumo huu unakuwezesha kufanya yafuatayo:
1. Kusimamia taarifa za washirika/waumini
2. Kusimamia taarifa za mapato (income)
3. Kusimamia taarifa za matumizi (Expenses)
4. Kutengeneza taarifa ya mapato na matumizi (Income & Expenditures report) ya kipindi chochote kwa dakika 1 tuu
5. Kuweza kuwasilisha taarifa yoyote kwa washirika kirahizi zaidi kupitia mfumo wa Bulk SMS (utaweza kutuma SMS kwa watu 1,000 ndani ya dakika 1)
6. Kuweza kuandaa annual work plan kirahisi na kupokea reminder kwa kila activity inapofika
7. Vikundi ndani ya kanisa (mfano vikundi vya vijana, wamama, wababa, watoto n.k), vitaweza kusimamia taarifa zao (taarifa za wanakikundi, taarifa za mapato na matumizi ya kikundi, taarifa za biashara ya kikundi kama ipo, Kuandaa annual work plan na kupata reminders SMS nk)
8. Kupitia CMIS utaweza kuhifadhi taarifa za kila mahudhurio ya washirika kwenye kila ibada
9. Utafutaji wa taarifa ni rahisi zaidi kuliko taarifa zilizo hifadhiwa kwenye vitabu au MS Excel
10. Taarifa zote zinazotunzwa kwenye CMIS haziwezi kupotea kwa kuwa zinahifadhiwa mtandaoni hivyo utazipata tena hata baada ya computer yako kupata tatizo
11. Uhifadhi wa document zote za taasisi.
Karibuni kuujaribu mfumo huu unaopatikana kwa address hii churchMIS - Church Management Information System
UPDATES
Kuna wengi ambao mmekuwa mkihitaji account ya majaribio, sasa ili kuepusha usumbufu wa kusajili account na kufuta nimetengeneza account za majaribio ambazo kila mmoja anaweza kuzitumia
account ya Finance
churchID 1096
Phone 255742600079
Passwors 1122
Account ya administrator
churchID 1096
Phone 255759891571
password 1122