- Thread starter
- #21
Tutawatembelea tuu huko walikoMfumo mzuri sana sema wachungaji wanapita hapa kama hawaoni hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutawatembelea tuu huko walikoMfumo mzuri sana sema wachungaji wanapita hapa kama hawaoni hivi.
Ijaribu utanipa feedbackThank you mkuu!
Mkuu, nafanya vipi deduction baada ya kuyoa bidhaa? Mfano nina 24items, nimeuza mbili, napunguzaje na wapi, wapi itanionyesha kuwa nineshauza bidhaa mbili?Ijaribu utanipa feedback
Hivi ile database ya UDOM iliyo dukuliwa isha rekebishwa?Wasalimie hapo UDOM-CIVE Parokia ya mtakatifu...
Mkuu Ilikuwa mwaka gani huo taarifa hizo zilipokuwa published JF?Hivi ile database ya UDOM iliyo dukuliwa isha rekebishwa?
Nakumbuka database pamoja na password za wanafunzi ziliwekwa jf kila mtu ajionee!!
NB: inakuaje chuo kinagundisha IT wakati wao hawawezi hata kusimamia mifumo yao?
sijakupata vizuri bado, unaweza ukaeleza zaidi?Sio kwamba unampa access na mambo utakayokuwa unapanga na familia yako?
Mkuu kwenye sehemu pale ya profile kuna namba zao za whatsapp na normal call wako humble wanakuelekeza vizuriMkuu, nafanya vipi deduction baada ya kuyoa bidhaa? Mfano nina 24items, nimeuza mbili, napunguzaje na wapi, wapi itanionyesha kuwa nineshauza bidhaa mbili?
Karibu sana, ingia churchmis.comnaomba link ya demo nipitie naweza nkawashawishi kanisan kwetu apa
Imeundwa kwa kuzingatia mahitaji ya makanisa, hivyo hata baadhi ya terminology zinaendana na mahitaji ya taasisi za makanisa. Ila tunaweza kukutengenezea mfumo ambao utaendana na mahitaji ya msikiti.Inaruhusiwa kutumika misikitini pia?
Karibu sana, ingia churchmis.com
Karibu sana, ingia churchmis.com
bei ya SMS inategemea na idadi ya SMS ambazo unanunua, bei ya juu ni 25, na bei ya chini ni 12.nmeona sehem umeongelea sms, unamaanisha ntaweza kutuma sms kwa washarika? bei ya sms ni kiasi gan
Unaweza ukatengeneza demo account kwa kujaza registration form >> Bonyeza get started kujisalijihauna demo account naweza kupitia haraka haraka kesho baada ya ibada niwasilishe?