Nimeteuliwa kuwa reviewer wa Jarida la Matumizi ya akili bandia katika uhandisi (Journal of Engineering Applications na Artificial Inteligence)

Nimeteuliwa kuwa reviewer wa Jarida la Matumizi ya akili bandia katika uhandisi (Journal of Engineering Applications na Artificial Inteligence)

Vipi zile flashi za nyimbo za dini, umeshazifanyia review

Ndio mkuu, ila ni kwa nyimbo za dini tu. Kuna nyimbo za dini nilizo ziandaa kwaajili ya kushare na watanzania wenzangu. Naomba kuchukua nafasi hii kutangaza tena yeyote anaye hitaji nyimbo nzuri za dini anitafute kama nilivyo tangaza. Ni nyimbo nzuri sana na imani zitambariki sana.
 
Huyu ni nani tena mkuu
IMG_7423.jpeg


IMG_7422.jpeg


IMG_7421.jpeg

IMG_7420.jpeg


Angalia tofauti ya hizo na yako hazina end dates.

Mimi sikulazimishi wewe kujiongopea, ila nakuona ni mtu mwenye potential ukiwa serious na maisha.

Kwangu mjadala huu umeishia hapa

Alamsiki
 
Lakini mkuu mbona umeikuza sana AI wakati ni mambo ya kawaida tu.
Haya elezea how data analytics works, hayo ni mambo basic kwenye cognitive machines.

Sijui Tanzania ila mambo ya AI sasa hivi kuelekea kwenye 5th industrial revolution nchi za wenzetu ni mandatory module. Muhimu wanafunzi kuelewa impact ‘cognitive machines& na madhara yake katika nafasi zao za kazi mbeleni.

Pretty much AI is still in its infancy, full of errors, kwa sasa ni popular kwenye repetitive tasks, kwenda mbele ni expensive main funders ni makampuni makubwa na mfanyakazi wa kesho lazima ujue abc za technical aspects how it works ili uweze kuisimamia na kufanya troubleshooting (at least concepts) kama course yako sio IT.

Sasa wewe una hata Phd, una maandishi yoyote kuhusu hiyo discipline, hujawai ajiriwa kwenye sector (not sure if you even know how write algorithms), halafu uwe ‘peer reviewer’ wa journals zilizoandikwa na scholars waliokuzidi uelewa.

Like I said siwezi kuingilia fantasy zako, kuna watu duniani wanaamini wao ni reincarnations wa Tesla, Einstein and so forth sasa watu kama hao utabishana nao vipi.

Alamsiki
 
Haya elezea how data analytics works, hayo ni mambo basic kwenye cognitive machines.

Sijui Tanzania ila mambo ya AI sasa hivi kuelekea kwenye 5th industrial revolution nchi za wenzetu ni mandatory module. Muhimu wanafunzi kuelewa impact ‘cognitive machines& na madhara yake katika nafasi zao za kazi mbeleni.

Pretty much AI is still in its infancy, full of errors, kwa sasa ni popular kwenye repetitive tasks, kwenda mbele ni expensive main funders ni makampuni makubwa na mfanyakazi wa kesho lazima ujue abc za technical aspects how it works ili uweze kuisimamia na kufanya troubleshooting (at least concepts) kama course yako sio IT.

Sasa wewe una hata Phd, una maandishi yoyote kuhusu hiyo discipline, hujawai ajiriwa kwenye sector (not sure if you even know how write algorithms), halafu uwe ‘peer reviewer’ wa journals zilizoandikwa na scholars waliokuzidi uelewa.

Like I said siwezi kuingilia fantasy zako, kuna watu duniani wanaamini wao ni reincarnations wa Tesla, Einstein and so forth sasa watu kama hao utabishana nao vipi.

Alamsiki
Hivi ni baadhi ya vitabu nilivyo soma mkuu. Vitu unavyo niuliza ni vitu vidogo sana. Download hicho kitabu anza kukisoma kama kuna sehemu itakushinda nitafute. Hicho kitakupa mwanga kidogo. Sasa vipo vingine ambavyo nimevisoma. Kama utanihitaji tutengeneze model yoyote nipo tayari.
71u-gnhhLyL._AC_UF1000,1000_QL80_ (1).jpg
 
Hivi ni baadhi ya vitabu nilivyo soma mkuu. Vitu unavyo niuliza ni vitu vidogo sana. Download hicho kitabu anza kukisoma kama kuna sehemu itakushinda nitafute. Hicho kitakupa mwanga kidogo. Sasa vipo vingine ambavyo nimevisoma. Kama utanihitaji tutengeneze model yoyote nipo tayari.
View attachment 3014236
Elezea kidogo mkuu kuhusu chapisho Hilo namna walivyolifanya kwa kufuata vitu vifuatavyo
1.Procedure on oil and gas production
2.Aina ya fossil fuels waliyotumia kuextract hiyo oil and gas.
Asante
 
Hivi ni baadhi ya vitabu nilivyo soma mkuu. Vitu unavyo niuliza ni vitu vidogo sana. Download hicho kitabu anza kukisoma kama kuna sehemu itakushinda nitafute. Hicho kitakupa mwanga kidogo. Sasa vipo vingine ambavyo nimevisoma. Kama utanihitaji tutengeneze model yoyote nipo tayari.
View attachment 3014236
You do know ML na AI are not exactly the same.

Halafu swali la mwisho nililokuuliza ni namna gani ‘data analytics’ works. Badala ya kuelezea concept unazunguka mmbuyu na kwenda kutafuta picha za vitabu mitandaoni.

Haya how does ML works?

What is ‘predictive analytics’ na inatofauti gani na ‘deep learning’?

Kama umesoma huo mkitabu hayo ni mambo unaweza yajibu kwa paragraph mbili tu.
 
You do know ML na AI are not exactly the same.

Halafu swali la mwisho nililokuuliza ni namna gani ‘data analytics’ works. Badala ya kuelezea concept unazunguka mmbuyu na kwenda kutafuta picha za vitabu mitandaoni.

Haya how does ML works?

What is ‘predictive analytics’ na inatofauti gani na ‘deep learning’?

Kama umesoma huo mkitabu hayo ni mambo unaweza yajibu kwa paragraph mbili tu.
Mkuu kama una project za kutengeneza model za AI nipo tayari huna haja ya kuniuliza mambo ya kudefine. Ni mambo madogo sana kwangu boss. Andaa project kweny uzi huu huu tuifanye ili na wengine wajifunze.
 
Back
Top Bottom