Kuna mwenzio kaanzisha uzi anajuta kuoa we unataka kuingia duuh
NimeuonaNajuta kuoa - JamiiForums
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA Analala na jinsi suruali Ananifokea kama katoto Nikimshika kiuno anajidai anaumwa Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala hajali Nikimkaripia anakuja juu Maneno yamekuwa mengi Sana Kanisababisha nakunywa pombe+ sigara...www.jamiiforums.com
acha ujinga - kula maisha kijana !! mambo ya mama Mkwe, baba Mkwe, shemeji, dada wa kazi nyumba inajaa watu - unayataka kwa umri huo?
Hahaha hahahEndelea kusubiri mpaka ufike 50 mwanao atasomeshwa na walimwengu ukishakufa
Kama hujui kwa nini unaoa basi usioe endelea kuzini ila ukumbuke zinaa ni uchafu na chukizo kwa MunguDah mi Nina 29 hapa, Nina Kila kitu maisha Ila sina mke tu,Kuna mda najiuliza maswali ya msingi hivi mke zaidi ya watoto atanipa Nini Cha maana ambacho saivi zikipati??? Kweli tuoe tu lakini kwajinsi nilivyo kamilika hapa na jinsi nilivyo na furaha kama kungekuwa na ndoa za kukutana weekend tu nadhani zingekuwa zinatufaa sisi wengine.
Mungu sijui aliwaza nini kusema tuoe labda siku nikioa naweza kujua.
Una pesa,biashara,kazi,una kula vizuri, unajua kutongoza,una hobbies zako kibao,una furaha ukiwa mwenyewe,una uhakika wa kupata mwanamke mwingine yeyote mzuri. Sasa why kuoa?kwanini tuoe wenzetu wazungu wanajua marriage is not for men.
Kuna mda natamani kuoa sana,Kuna mda nawaza hivi nikioa sio ndo mwanzo wa kunihamishiwa mastress yake na mahuzuni yake kwenye maisha yangu yaani nitoe mali,nichangishe watu kusogeza stress kwenye maisha yangu?Ila yote kwa yote, hayo ni mawazo tu ngoja nioe nijionee mwenyewe
Tehteh,, kumbee tumejaa humuHata mie nina 32,Ila bado miaka 4 ndo nioe
Kwan wewe hupigi game? Najua bado hujaolewaKama hujui kwa nini unaoa basi usioe endelea kuzini ila ukumbuke zinaa ni uchafu na chukizo kwa Mungu
30's ndo umri sahihi wa kuoaTehteh,, kumbee tumejaa humu
Hahaha kwanin muzee baba??braza hivi wewe na Zero IQ ni ndugu??
Kile ile kitu utayari na uthubutu30's ndo umri sahihi wa kuoa
Exactly;hata ujana unakuwa umeumaliza mkuu.Inabaki kumheshimu mwenzako ndaniKile ile kitu utayari na uthubutu
Kweli kabisa,,Exactly;hata ujana unakuwa umeumaliza mkuu.Inabaki kumheshimu mwenzako ndani
Mpaka unafika 45 unakuwa tayar Una watoto 2 wenye interval ya miaka miwili na nusu si mbaya.Huku ukijiimarisha zaidi kiuchumi.Kuelekea 48-50 ukipenda unapata katoto ka mwishoKweli kabisa,,
Fainal uzeeniMpaka unafika 45 unakuwa tayar Una watoto 2 wenye interval ya miaka miwili na nusu si mbaya.Huku ukijiimarisha zaidi kiuchumi.Kuelekea 48-50 ukipenda unapata katoto ka mwisho
Usiniambie umenusurika ya mkeka, yaan mkeka kidogo uchanikeIma only 26, mazingira kidogo yanibane nioe mwaka huu(nilimpa binti mimba kwao akatimuliwa akaja ghetto na mi siwezi kumfukuza) ila nikawa jorowe. Hapa sifikilii kuoa mpaka 30 ndo ntaanza hizo fikra.
Asante sanaHongorea mkuu,,
Aaah wapi.Hahaha yaani hautaki kuku Bali tu ---hajawahi kuona kijana wa kiume/wa kike ameolewa but still Ana ishi Yale maisha aliyo kuwa ana yaishi alipo kuwa Batchelor -.huo ni moja ya uhaba wa utayari wenyewe
Unataka mpishane miaka kumi?!Umri tunapishana miaka 2, hili gap hapana aiseh