KERO Nimetishiwa kudhalilishwa na mtoa huduma wa Pesa X

KERO Nimetishiwa kudhalilishwa na mtoa huduma wa Pesa X

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari ninaomba msaada wa kisheria ili haki iweze kutendeka , nimetishiwa kudhalilishwa na Mtoa huduma wa Pesa X kama inavyooneka hapo chini.

1717518057425.png
 
Kwaiyo unaogopa unaogopa nini sasa wakati wewe umepata pesa wao wanaishia maneno wajibu nichafueni hata sasa hivi au niwaongozee namba ya mama mkwe na baba mkwe yani umechukua pesa unaogopa kuchafuliwa aisee kula pesa hiyo huo uwoga woga wenu ndio mnawapa viburi chukua pesa akitumiwa jamaa yako sema ndio nimechukua pesa walitaka nitapeli nikawawahi
 
Utadhalilika sana, lipa tu hilo deni. Kuna mtu kaanzishiwa group la whatsapp limeitwa Nauza mk......u ili nipate pesaro za kulipa mkopo Pes X. Huko waliokuwa added ni family members wake kama Baba, Mama na ndugu wengine.

Profile Picture imewekwa picha yake na huko zinatumwa picha zake alizopiga zenye utata.
 
Utadhalilika sana, lipa tu hilo deni. Kuna mtu kaanzishiwa group la whatsapp limeitwa Nauza mk......u ili nipate pesaro za kulipa mkopo Pes X. Huko waliokuwa added ni family members wake kama Baba, Mama na ndugu wengine.

Profile Picture imewekwa picha yake na huko zinatumwa picha zake alizopiga zenye utata.
Duh hii ningekufa na mtu.
 
Back
Top Bottom