Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
MKUUU KIINGEREZAA AMA FR3NCHFafanua mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MKUUU KIINGEREZAA AMA FR3NCHFafanua mkuu
Ww kweli jitu bandiaWana mikwara!.... Ukiwa kunguru!... Utaogopa kama kweli vile..
We kausha!... Hakuna kitu wanaweza kukufanya!....niamini Mimi mkuu!
Mimi kampuni zote unazozijua online nimesha wakopa!... Na sitegemei kuja kuwalipa!
Walishapiga simu,kutuma msg za vitisho mpaka wameamua kumwachia Mungu!
hamutaki kuambiwa ukweli munaishia umetumwa.Wewe ndio wale wale umetumwa
Hawana kazi hawana pesa wanakopa ili wale. Fisiemu tengenezeni ajira kwa vijana acheni masiharaDuh aiseeeeee udhalilishaji mkubwa sana huo. Ila wabongo wanapenda kukopa wakati wanafahamu uwezo wa kulipa hawana
Dawa ya deni kulipa lo alipe tu wamalizane nao
Kekekeke! Hatari, halafu admin ni pesaX wenyewe. Family member akileft dakika sifuri wanamrejesha.Utadhalilika sana, lipa tu hilo deni. Kuna mtu kaanzishiwa group la whatsapp limeitwa Nauza mk......u ili nipate pesaro za kulipa mkopo Pes X. Huko waliokuwa added ni family members wake kama Baba, Mama na ndugu wengine.
Profile Picture imewekwa picha yake na huko zinatumwa picha zake alizopiga zenye utata.
Mmh!WEEE HAWA WAJINGA WAKIKUTUMIAAA HIVI UNAWABLOCK NAMBQ ZAO HAWANA UWEZOO KUBLOCK NAMBA YAKO
Hao wahuni TU!Usilipe hata 100.
Hawana cha kukufanya
Kwani 20 sio hela mkuu?Wewe nawe!!!
Umedhalilishwaje sasa hapo?
Njaa njaa zako ndizo zilizokupeleka huko
Lipa deni la watu...si ajabu ulikopa elfu 20
Watamtumia hadi Hadija msg.Ngoja nikope hela ya kumtafuna Khadija weekend hii