Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Lipa deni la watu, unakuwa kama ulikopeshwa mawe
WEEE HAWA WAJINGA WAKIKUTUMIAAA HIVI UNAWABLOCK NAMBQ ZAO HAWANA UWEZOO KUBLOCK NAMBA YAKOHabari ninaomba msaada wa kisheria ili haki iweze kutendeka, nimetishiwa kudhalilishwa na Mtoa huduma wa Pesa X inayomilikiwa na singularity Company kama inavyooneka hapo chini.
MPWAA HELAAA YAOOO FREEMASSON NYOKOO MAMA...ZAO YAAAN MADADAA MTAAANI WAMEANZISHA KIJIWEE WAKIDAIWA HUKU WANATAFUTA KALPUNI ZINGINE WANAKOPA WANALIPA SASA UJINGA WA HAWA JAMAANaona umeomba lipa namba mwenyewe 😄
Wakati mnakopa sherehe,kulipa ugomvi
Ova
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wana mikwara!.... Ukiwa kunguru!... Utaogopa kama kweli vile..
We kausha!... Hakuna kitu wanaweza kukufanya!....niamini Mimi mkuu!
Mimi kampuni zote unazozijua online nimesha wakopa!... Na sitegemei kuja kuwalipa!
Walishapiga simu,kutuma msg za vitisho mpaka wameamua kumwachia Mungu!