KERO Nimetishiwa kudhalilishwa na mtoa huduma wa Pesa X

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kwaiyo unaogopa unaogopa nini sasa wakati wewe umepata pesa wao wanaishia maneno wajibu nichafueni hata sasa hivi au niwaongozee namba ya mama mkwe na baba mkwe yani umechukua pesa unaogopa kuchafuliwa aisee kula pesa hiyo huo uwoga woga wenu ndio mnawapa viburi chukua pesa akitumiwa jamaa yako sema ndio nimechukua pesa walitaka nitapeli nikawawahi
 
Utadhalilika sana, lipa tu hilo deni. Kuna mtu kaanzishiwa group la whatsapp limeitwa Nauza mk......u ili nipate pesaro za kulipa mkopo Pes X. Huko waliokuwa added ni family members wake kama Baba, Mama na ndugu wengine.

Profile Picture imewekwa picha yake na huko zinatumwa picha zake alizopiga zenye utata.
 
Duh hii ningekufa na mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…