Duh aiseeeeee jamaa wana mikwara mizito[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee jamaa hawafai..., huko India watu wamejiua sababu ya kudhalilishwa na hao jamaa wa mikopoUtadhalilika sana, lipa tu hilo deni. Kuna mtu kaanzishiwa group la whatsapp limeitwa Nauza mk......u ili nipate pesaro za kulipa mkopo Pes X. Huko waliokuwa added ni family members wake kama Baba, Mama na ndugu wengine.
Profile Picture imewekwa picha yake na huko zinatumwa picha zake alizopiga zenye utata.
Riba zake unazijua vizuri lakini?Wewe ndo unajidharilisha kwanini usilipe deni
Sasa kama hauna dhiki utakopaje kwenye hivyo vikausha damu!! Umasikini unadhalilisha🙆Aisee kumbe hao jamaa wanajua kabisa wanaowakopesha wana dhiki, hivyo wameamua kuneemeka kwa dhiki zao kwa kuwawekea riba kubwa!
Amka mtanganyika.
Duh!...Kwaiyo unaogopa unaogopa nini sasa wakati wewe umepata pesa wao wanaishia maneno wajibu nichafueni hata sasa hivi au niwaongozee namba ya mama mkwe na baba mkwe yani umechukua pesa unaogopa kuchafuliwa aisee kula pesa hiyo huo uwoga woga wenu ndio mnawapa viburi chukua pesa akitumiwa jamaa yako sema ndio nimechukua pesa walitaka nitapeli nikawawahi
Me nshawakopa sana.Hahahah wewe lipa deni acha utapeli mkuu unadaiwa unasema unadhalilishwa
Sio mikwara Numbi hao hawataniiii na group watamuwekea kweliii [emoji1787] kuna siku tumejikuta kwenye group uko kuna jamaa yetu alikopa na kwenye dp wanaweka picha yako yaani hawataniiii
Mkuu unaongea ukweli. Walinikopesha nikakaa kimya nika warlock wana namba kibao kama madalali. Wakipiga nikijua niyeye nakata nablock. Wakakaa kimya wenyewe. Kwa kuwa mzigo zilikuwa nao nilkalipa. Wananipigia kila saa eti nikope tena Nawalia timing tu.Wana mikwara!.... Ukiwa kunguru!... Utaogopa kama kweli vile..
We kausha!... Hakuna kitu wanaweza kukufanya!....niamini Mimi mkuu!
Mimi kampuni zote unazozijua online nimesha wakopa!... Na sitegemei kuja kuwalipa!
Walishapiga simu,kutuma msg za vitisho mpaka wameamua kumwachia Mungu!
Fafanua mkuuHAWA MBWAAA WAMENIUNGAAA JANA NA NAMBA YA MFANYAKAZI NILIFANYANAEKAZI MIAKA HIO KUMBE WAMEINGIA KWENYE LINE WAKASHUSHA CONT ZAOMZOTEE
Wewe ndio wale wale umetumwaKama umekopa unatakiwa kulipa. siyo kutafuta msaada wa kisheria.
Ndiyo munakomeshwa musikope hivyo.
Yaani 'kukopa harusi kulipa matanga'