KERO Nimetishiwa kudhalilishwa na mtoa huduma wa Pesa X

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ww kweli jitu bandia
 
Kekekeke! Hatari, halafu admin ni pesaX wenyewe. Family member akileft dakika sifuri wanamrejesha.
 
Halafu waweza kukuta ni katoto! Kamebahatika kupata kazi ya kufuatilia mikopo. Kanakumalizia ma frustration yake!

Wengi ni mikwara tu. Piga block kwenye namba zao zote.

Hawana adabu, sifa, uwezo wa kufikiri, akili wala hekima..Bure kabisa...
 
Tatizo ni mbinu chafu ya utakatishaji fedha inayolindwa na serikali.

Kuna cyberbullying ya kutosha humo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…