Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
Kweli usilolijua š¤£š¤£Nahisi kuna baadhi ya mods huwa wanaleta visirani vya maisha yao binafsi kazini.
Mama Edina mods pia wana ID fake, inawezekana mmoja wao alikuja PM kumwaga sera ukampiga za mbavuni, ndio akaona akukomoe na ban.
Udikteta upo kwenye kila sehemu ya maisha.