Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Hivi inakuwaje mpaka unapata ban?Kupata ban jf ni kujitakia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi inakuwaje mpaka unapata ban?Kupata ban jf ni kujitakia
Sio mimi mkuu waulize wanaopataHivi inakuwaje mpaka unapata ban?
Hahahahaha ila wewePisi mpaka inapigwa ban hiyo sio pisi ni mwamba tu!
Ulimuanza au alikuanza?? Kuna muda wanafuta hizo content za matusikuna mmoja humu nilimtukana sana majuzi kati but sijapigwa ban,,so sielewi inakuaje mtu analambwa ban.
Alianza yeye me ndo nikamporomoshea mvua ya matusi.Ulimuanza au alikuanza?? Kuna muda wanafuta hizo content za matusi
Na mpaka saivi hizo content bado zipo.Ulimuanza au alikuanza?? Kuna muda wanafuta hizo content za matusi
Mhh mi zangu walikua wanafutaNa mpaka saivi hizo content bado zipo.
Maybe ndo maana hawajakubanikaAlianza yeye me ndo nikamporomoshea mvua ya matusi.
Inaonekana content zako zilikuwa nzito sana.Mhh mi zangu walikua wanafuta
Duuh kwahiyo ningeanza mimi kutukuna ningebanika?Maybe ndo maana hawajakubanika
Yah ila sina,uhakika labda walitusahau tuu 😆 😆 😆Duuh kwahiyo ningeanza mimi kutukuna ningebanika?
Yah ila sina,uhakika labda walitusahau tuu
KaribuHahahahaha ila wewe
Moderator hawakuiona pia uliemtukana hakulipoti au hakukupatikana kiherehere wa kulipotikuna mmoja humu nilimtukana sana majuzi kati but sijapigwa ban,,so sielewi inakuaje mtu analambwa ban.
Haijalishi ilimradi sijakaa kizembe inatosha!Sasa hapo anayeumia ni nani
Siwezi kukaa kizembe niitwe karungu yeye nivumilie!Ndio kujitakia kwenyewe huko, mtu akikuita Karungu yeye kwani ni kweli wewe ni karungu yeye? Si unampotezea unaendelea na mijadala mingine tu, kumtukana matusi ya nguoni sio dawa.
Hulaliii...Haijalishi ilimradi sijakaa kizembe inatosha!
Kwani ukiitwa hivyo ni kweli?[emoji23]Siwezi kukaa kizembe niitwe karungu yeye nivumilie!
Ooh kumbe kuna viherehere wa design hiyo.Moderator hawakuiona pia uliemtukana hakulipoti au hakukupatikana kiherehere wa kulipoti