Kweli usilolijua 🤣🤣Nahisi kuna baadhi ya mods huwa wanaleta visirani vya maisha yao binafsi kazini.
Mama Edina mods pia wana ID fake, inawezekana mmoja wao alikuja PM kumwaga sera ukampiga za mbavuni, ndio akaona akukomoe na ban.
Udikteta upo kwenye kila sehemu ya maisha.
Halafu ale ban nyingine tena! Humtakii mema Mama Edina.hebu weka hiyo picha uliyopigiwa ban
sawa mremboNdio kujitakia kwenyewe huko, mtu akikuita Karungu yeye kwani ni kweli wewe ni karungu yeye? Si unampotezea unaendelea na mijadala mingine tu, kumtukana matusi ya nguoni sio dawa.
ukipigwa ban unafungua I'd nyingine simpo tuu
Sasa tutajuaje ulionewa?😂😂😂Heeee weee. Siwez
kivipi?Usijimalize sana tusije tukakupoteza jiran
Huwezi vumilia unyanyasaji wacha ban itembee tuu..sema huwa wanaangalia source ya nani kaanzaHayajakukuta mkuu wengine wanakutakia unabishana na mtu ghafla tu anakuita wewe karungu yeye!,kwanini nawe usimshushie matusi ya nguoni!
kuna mmoja humu nilimtukana sana majuzi kati but sijapigwa ban,,so sielewi inakuaje mtu analambwa ban.Hayajakukuta mkuu wengine wanakutakia unabishana na mtu ghafla tu anakuita wewe karungu yeye!,kwanini nawe usimshushie matusi ya nguoni!
kivipi?
nafungua nyingine chap na nitakujulisha.mbona ize🤣🤣Ukapigwa ban gafla hapa
Pole sana umefanya hekima kubwa kuweka hii post[emoji1752]Baada ya kugunguliwa muungwana ni kushukuru. Nashukuru lkn sikujua kisa nimetuma picha chafu ipi.
Ni uungwana kuomba radhi. Naomba Sana. Sikujua kabisa. Viongozi wangu
Wee chizi kweli [emoji23]hebu weka hiyo picha uliyopigiwa ban
Sasa hapo anayeumia ni naniHayajakukuta mkuu wengine wanakutakia unabishana na mtu ghafla tu anakuita wewe karungu yeye!,kwanini nawe usimshushie matusi ya nguoni!
Atarudi alikotoka😂hebu weka hiyo picha uliyopigiwa ban
Mi nikipata ban mpaka Leo sijui ya nini sibishani na watu sijatuma picha natamani niwaulize jf sioni sababu pia maana hainipunguzii loloteBaada ya kugunguliwa muungwana ni kushukuru. Nashukuru lkn sikujua kisa nimetuma picha chafu ipi.
Ni uungwana kuomba radhi. Naomba Sana. Sikujua kabisa. Viongozi wangu