Nimetoka kusuluhisha ugomvi mkubwa wa Mdogo wangu na mke wake


Unakosa vingi sana mkuu
 

Hahhahaa
 
Bora huyo Binti ameondoka maana kwel angechinjwa kwa wivu wa huyo mla gomba
 
[emoji1732][emoji1732]‍[emoji3601][emoji1732]‍[emoji3603][emoji1732][emoji1732]‍[emoji3601][emoji1732]‍[emoji3603]
 
Daaaah broo mbona mbea hivyo, yaani ndio umeamua kuja kunisimulia huku, acha habari zako hizo, wewe una mambo mangapi mabaya sijakusemea kwa watu?
 
Kuna wanawake wanajua kuvumilia sana.
Na wanavumilia na hawadhaminiwi, kuna dada alifiwa na mmewe ndugu wa Mme wakaanza kumsakama hakuwa anamtunza mmewe, alivyoona yamezidi akapasua jipu mbona kabla hata tumekaa miaka 2 hakuna kitu namtunza kama mwanangu iweje hili nimtose, watu haa[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] weee binti jasiri kuvumilia muda wote huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu ni mwema sana kuniepusha na ulevi wowote wa sigara, bangi, kokein, shisha, pombe, pornography na uzinzi wa Wanawake na hata hii mitandao ya kijamii

Mbona umo JF na hukosi kila siku au huu sio mtandao wa jamii?
 
Toa bangi hapo maana Ni natural Viagra
 
Aisee pale Kolo - Kondoa hali ni mbaya sana. Nilipita hapo jana karibu kila mtu anakula gomba aka mirungi! Yaan si bodaboda kijana au mzee wote midomo inatafuna vitu!
Mzee hizo makitu achana nazo aisee mimi na chalii yangu mudi kipindi hiko tunazifuata sana Kolo,pahi,mnenya,berabera bereko bukulu mpaka galapo namnyama XXR honda bomba mbili dkk 10 tu kilometres 5 tumenusa
wadau walikuwa wanachanja usiku kucha pemben na soda ya sprites.
 
Nadhan mnahitaji kuweka mikakati ya jinsi ya msaidia huyu bwana mdogo kuondokana na mirungi...naona mmeondoka kwa hasira sana,uyo dogo ataendelea kupotea na madhara yatarudi kwenu mwisho wa siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…