GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #41
Nachoka Kuelimisha Majuga kila Siku.Mwaka 2012 iliaminika hivyohivyo kwamba Nou Camp ni machinjioni lakini mwaka huo Barca alitupwa nje ya mashindano na timu ya Chelsea ambayo haikutegemewa sana kufanya hivyo.
Unaweza kufungwa na wewe ukafunga at the end aggregate ndiyo itaamua na hata Simba akishindwa bado atakuwa kashindwa mbele ya timu kubwa zaidi yake na ili Simba achukue kombe hili sharti acheze na timu hizihizi tena home and away la sivyo aachane na ndoto za ubingwa huo.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ni wewe tu unaona sina akili,mamako ananiheshimu sana na kunisifia nina akili.😁Watu wa Singida wengi hawanaga akili na wanawake zao kipa katoka.
Bora wewe ulishalitambua hili. Popoma ni Yanga mwenzetu, ila ndiyo kinyonga tushamzoea. Anawachanganya maboya tu..Ila wewe ni utopolo unaejifanya Simba
Huwezi amini Mkuu katika Maisha yangu yote hadi Ukongwe / Uzee huu nilikuwa najua Waarabu hawavuti Mpepe / Bangi.
usijali mtani dawa ni kukumbatia bomba tu mpk mwisho hata liwe la moto vp washikilie tuNa nahisi huenda GENTAMYCINE Usiku wa Saa Nne ( 4 ) Jumamosi ijayo ya tarehe 29 April. 2023 Nikalia zaidi na Kuhuzunika Kunakotukuka.
Hao wanavuta fresh tu hata Mfalme wao aliyekuja hapa alipokwenda Zanzibar alivaa T Shirt yenye ile nembo pendwa ya mjani kifuani. Hawa hawana ule uarabu kivile wana upepo wa ng'ambo ya pili ya Bahari ya MediterraneanNaanza Kukuamini Mkuu kwani ile Juzi kuna muda Camera za Azam Tv zilikuwa zikiwaonyesha na kuna baadhi yao hata Macho yao tu yalionyesha wamevuta sana Sigara Bwege / Mpepe ( alias ) Bangi.
Always deposit positive thoughts in your memory bank, always be optimistic!Kwani akiwa kwao ndio wanakuwa na miguu mitatu? Its all anout mindset, ingekua mimi ningeudanganya ubongo kwamba tupo nyumbani na hao mashabiki ni wetu.
Huwa nafanya hivi hata katika mambo mengine ya kimaisha kwa mafaniki makubwa sana
Ni IJUMAA mkuu game iko SAA 3 USIKU KWA SAA ZA TANZANIANa nahisi huenda GENTAMYCINE Usiku wa Saa Nne ( 4 ) Jumamosi ijayo ya tarehe 29 April. 2023 Nikalia zaidi na Kuhuzunika Kunakotukuka.
Tatizo lako wewe una Matokeo yaKO kwenye mfuko wa Shirt.Na nahisi huenda GENTAMYCINE Usiku wa Saa Nne ( 4 ) Jumamosi ijayo ya tarehe 29 April. 2023 Nikalia zaidi na Kuhuzunika Kunakotukuka.
Kwani hatukuondoka na kamati ya Ufundi kutoka Bagamoyo iliyomliza Uto?Ni sawa na leo nimsikie Bondia Hassan Mwakinyo akitamba kuwa atamgharagaza vilivyo Bondia Antony Joshua au Bondia Tyson Fury.
Mtanisamehe tunaenda Kuzikoga / Kufungwa mno Jumamosi huko nchini Morocco kwa Wydad Casablanca FC.
Mpka sasa ticket zote zishauzwa🤣🤣🤣🤣Siyo kwa Wydad Casablanca FC tena akiwa katika Ardhi ya Kwao huku Majukwaani wakiwa Wanahanikizwa vilivyo na Mashabiki wao Wakorofi utadhani ni Wavuta Bangi wakati kumbe hata hawaivuti.