Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Ningeshangaa ungesema umeiacha hata TOYOTA HILUX
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani haikukufikisha ulipotaka kufika ? Mostly mabio ya vyombo vya usafiri ni kifo kinakuita.Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji
V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]
Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Ulikuwa una bet na kifoCha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji
V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]
Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Aah wapi ulipotea kabisa kwenye radar 😆😆Wenye benzi wote niliwanyanyasa
Wewe ni miongoni mwa wachaga wapumbavu kuwahi kuwepo kwenye uso wa dunia.Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji
V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]
Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Ni mimi mkuu si Benzi nyeupe hivi?Mkuu au ndo ww umenipita nilikuwa nimepanda baiskeli hadi nimeangushwa na upepo wa gari lako,duh umepona kweli
Kwa hali hiyo hautafika mbinguni aisee nimechubuka mpaka kwapaNi mimi mkuu si Benzi nyeupe hivi?
Ngoja kwanza, eti umeipita Benz !!!! Waundaji wa Benz watajiuzulu kwa lazima. Tofautisha usafiri wako wa Toyota vitz na gari yenyewe Benz, kwa hiyo Toyota vitz ni usafiri kama baiskeli na Benz ni gari.Aah wapi ulipotea kabisa kwenye radar 😆😆
Wewe sema wanaoe endesha hayo magari hwakutaka mbio au si madereva wazoefu.Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji
V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]
Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Bongo hapa vijana (baadhi) wana mawazo ya kitoto , mada haina facts halaf anaona raha mwendo kasiYaan kila siku huu msimu tunataarifa mbaya afu wew unajisifia ligi
Kumbe kuna watu ni vichwa vigumu
Kwanza niliamin mwaka ujao mtakamo au mtapunguza kabisa kwenda kilimanjaro maana mwaka huu ajar zimewafyeka sana
Nawewe unamwamini ? Baiskeli sijui kama anajua kuiendeshaUsirudie tena mkuu. Umejiweka kwenye hatari mbaya sana.
Mshukuru Mungu wako umefika salama!