t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Nilitamani uende uzi flan jamaa anaisifia 1hz kuwa ninengine yenye nguvu na mbio kukiko zote,Hiyo vitz ni ya piston 3 au 4?Unaonekana hujui magari,land cruiser mkonge yenye 1hz mbona ni kobe mbele ya harrier!mi huwa nashangaa sana mtu anaisifu 1hz kwenye mwendo.
Kuna watu wamekafirishwa vibaya sana kuhusu 1hz