Nimetoka Moshi na Toyota Vitz nimezinyanyasa Subaru, Harrier sio mchezo

Nimetoka Moshi na Toyota Vitz nimezinyanyasa Subaru, Harrier sio mchezo

Ngoja kwanza, eti umeipita Benz !!!! Waundaji wa Benz watajiuzulu kwa lazima. Tofautisha usafiri wako wa Toyota vitz na gari yenyewe Benz, kwa hiyo Toyota vitz ni usafiri kama baiskeli na Benz ni gari.
IST ni chombo cha moto, Benz ni Gari.
 
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji

V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]

Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Hiyo vitz ni ya piston 3 au 4?Unaonekana hujui magari,land cruiser mkonge yenye 1hz mbona ni kobe mbele ya harrier!mi huwa nashangaa sana mtu anaisifu 1hz kwenye mwendo.
 
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji

V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]

Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Kwani VITZ ni gari
 
Bahati yako, hii habari ya wewe kufanya mashindano njian ingekuwa Siri ambayo ungebaki nayo mwenyewe mpaka kuzimu, huku sisi duniani tungebaki kuhuzunika kijana kaacha mke mzuri ambaye naye tungemchukua kumponya machungu ya kuwa na mme mlevi asiyeheshimu road signs
 
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji

V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]

Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo,vaa mkanda, zingatia speed 50 nenda 50 80 nenda 80.
Vits yako Inakimbia sana...


...Ni Hayo Tu!
 
Vitz iittese Harrier tako la nyani, inyanyase Subaru tena kwa kufuata alama zote za barabarani, kwenye 50 unatembea 50 weeee
Mondo foooo
 
Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji

V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]

Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo,vaa mkanda, zingatia speed 50 nenda 50 80 nenda 80.
Duuu
 
Back
Top Bottom