Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Ngoja niazime hilux ya serikali tuweke battle na hako ka vitz kako,alafu ntakutanguliza mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IST ni chombo cha moto, Benz ni Gari.Ngoja kwanza, eti umeipita Benz !!!! Waundaji wa Benz watajiuzulu kwa lazima. Tofautisha usafiri wako wa Toyota vitz na gari yenyewe Benz, kwa hiyo Toyota vitz ni usafiri kama baiskeli na Benz ni gari.
Mbingu haipo, Mbingu ni hapa hapa duniani, Sema nipe namba yako nikutumie hela ya dawa.Kwa hali hiyo hautafika mbinguni aisee nimechubuka mpaka kwapa
Hiyo vitz ni ya piston 3 au 4?Unaonekana hujui magari,land cruiser mkonge yenye 1hz mbona ni kobe mbele ya harrier!mi huwa nashangaa sana mtu anaisifu 1hz kwenye mwendo.Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji
V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]
Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
Kwani VITZ ni gariCha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji
V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]
Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo, zingatia speed 50 nenda 50 80,80,
0742.......... Au basi,ntatumia miti shambaMbingu haipo, Mbingu ni hapa hapa duniani, Sema nipe namba yako nikutumie hela ya dawa.
Mkuu vp kuhusu TOYOTA HILUXHiyo vitz ni ya piston 3 au 4?Unaonekana hujui magari,land cruiser mkonge yenye 1hz mbona ni kobe mbele ya harrier!mi huwa nashangaa sana mtu anaisifu 1hz kwenye mwendo.
Hiyo itakurudia mara5 yake mkuu, Sikushauri 😆!0742.......... Au basi,ntatumia miti shamba
Hiyo itakurudia mara5 yake mkuu, Sikushauri
Mwambie dem aikalie mwanzo mwshoJama i nimefanikiwa kufika shinyanga salama na boxer yangu ila kiuno chote hoi...hapa sitaweza gegeda wiki
Hizo weka kando ni balaaMkuu vp kuhusu TOYOTA HILUX
Fujo zote hizo anajua Doctor wake upoBahati yako umefika salama
[emoji23][emoji23][emoji23]Hizo weka kando ni balaa
Vits yako Inakimbia sana...Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji
V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]
Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo,vaa mkanda, zingatia speed 50 nenda 50 80 nenda 80.
akizipita chuma wanampisha wakisema muacheni dada anawahi lebaNahisi ulikuwa unajinyanyasa mwenyewe huko njiani😃😃😃
DuuuCha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji
V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]
Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo,vaa mkanda, zingatia speed 50 nenda 50 80 nenda 80.