Nilitamani uende uzi flan jamaa anaisifia 1hz kuwa ninengine yenye nguvu na mbio kukiko zote,Hiyo vitz ni ya piston 3 au 4?Unaonekana hujui magari,land cruiser mkonge yenye 1hz mbona ni kobe mbele ya harrier!mi huwa nashangaa sana mtu anaisifu 1hz kwenye mwendo.
Mimi nataka kwenda Ngara na Toyota Sienta hivi itafika kweli?Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji
V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]
Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo,vaa mkanda, zingatia speed 50 nenda 50 80 nenda 80.
Ulikuwa unashindana na watu wasio shindana.Cha kwanza nimeweka mafuta ya 70000 tu yametoka marangu mtoni hadi Dar na bawa 2 zimebaki kwenye geji
V8,Cruiser mkonge tu ndio zilininyanyasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yale madude hapana ila hzo zingine sijui cc 1400,2400 walikuwa wananusa tu moshi[emoji23][emoji23]
Ila niwakumbushe tu endesha kwa Tahadhari, Usilewe,fuata alama za barabarani kwa usalama wako,usiovertake hovyo,vaa mkanda, zingatia speed 50 nenda 50 80 nenda 80.
Kuna mtu humu kila post anataja Toyota Hilux, nafikiri gari aliyowahi kupanda yenye mwendo ni Hilux tu.Nilitamani uende uzi flan jamaa anaisifia 1hz kuwa ninengine yenye nguvu na mbio kukiko zote,
Kuna watu wamekafirishwa vibaya sana kuhusu 1hz
Alikuwa anakimbiza kivuli chake.Wenzako walikuwa wanaendesha kawaida
😂🤭Vitz inayotoa mimoshi cheki rings au valve seal mkuu.