Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

Status
Not open for further replies.
Kwa nini unamtusi mama yako mzazi wee mwana!!?
 
mkuu pitia na uganda pia ulete mrejesho
Uganda hata usiende braza mademu wananuka mdomo kama nini!? Na lifestyle yao kama ya Jamaica wananiudhi saana...they are dirty and careless with less classy and tenderness.

Nilifika Uganda na Rwanda kwa ajili ya bata tu..Uganda its dirty cheap kwa bata ila Rwanda its expensive for no reasons but u get value for money uliyospend nilienjoy sana Rwanda na sijutii safari yangu Rwanda. Na nitarudi tena soon ile raha si ya dunia hii asee! Loh!

Good girls kibao na kiingereza changu cha kufake kama mnyawezi wa US vile kumbe mzaramo wa mwaneromango wacha mademu wa kitutsi wanikimbile wakidhani mhisani kumbe wangejua!?

Ninachowapendea mademu wa kinyarwanda wana shobo tofauti na waganda wana zile kama za akina nshomile wanajifanya hawashoboki na wao ni goodlife kumbe cheche kagile.
 
Wewe nani alikuzaa kama hakuna wanawake?
Acha ulimbukeni wa kitoto
 

we jidanganye tu kuhusu tabia zao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nenda kokote hakuna mwanamke mtamu kama mbongo wengine mapambio
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…