Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we ngosweNimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
usipanic mkuuu ayo mawazo yake tu by de way uzuri wa mtu upo machoni mwake...Hajitambui huyooo aende hukohuko r
aliyekuleta duniani je?Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Hahaha... mbona umekasirika hivyo mkuuHata mamako sio mwanamke?
Hiyo wewe ni toto la shoga?
Mind your language
Mama yako raia wa rwanda? .... Usituchanganye? Kama tz hakuna wanawake mama yako mwanamme..Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Huenda ulifyotolewa na Bashiteh mke wa naniu yule wewe, ni lazima ubishe kuwa hakuna wanawake.Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Mbona mnachukia nyie wahutu..!Kaoe ndio kwani lazima uje kutangaza??
HahahahaKwahiyo sie ni wanaume wenzio au?
HahahahahahHebu tupe na habari za wanaume........nataka niende.........