Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

Status
Not open for further replies.
Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
we ngoswe
 
Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
aliyekuleta duniani je?
 
Hata mamako sio mwanamke?
Hiyo wewe ni toto la shoga?
Mind your language
 
Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Mama yako raia wa rwanda? .... Usituchanganye? Kama tz hakuna wanawake mama yako mwanamme..
 
Ila kweli wanawake wetu hawa wa Tz ni pasua kichwaa aisee yani wana kwambia "No Money No Honey" kizuri kisifiwe kwa uzuri wake Unapaniki nini mtoto wa kiume au Ulitaka Usifiwe wewe ndo Mzuriiiii!!!
 
Mkuu km za hao wanyarwanda zina TV ukitaka kwenda tena twende wote...
 
Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Huenda ulifyotolewa na Bashiteh mke wa naniu yule wewe, ni lazima ubishe kuwa hakuna wanawake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom