Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

Status
Not open for further replies.
Kwani wewe ulizaliwa na mwanaume tu hapa Tanzania? Mpaka useme hakuna wanawake?
 
Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Aliyekuzaa Wewe ni mti?
 
Umeoa jiwe au paka hebu rekebisha kauli maana niko na mtoto toka mburu ameumbika balaa unaposema hakuna wanawake wakati mie napewa hadi gia 7 per 20 minutes
 
Nadhani mleta mada alinuia kuandika mademu aka mashori, kiukweli wanavutia sana hawa watoto lakini haina maana kwamba wabongo hawana mvuto. Tz ni Nouma aise yani madem wa tz ngeambiwa niwafananishe na bia ningewaita balimi wako on fire masaa zote Ila ndiyo ujipange sasa ati kila demu anataka mwanaume ndiyo aanze kutongoza wacheni hizo kwani hamnaga genye nyie?
 
Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Kwa hiyo mshua ako alikukunya. Fala sana wewe. Vitu vingine keep to yourself. Sura lako lenyewe inaonekana baya alafu unataka wadada wazuri. Si tunawapenda hawahawa kwetu Wana misambwanda balaa
 
Yaani wewe huna adabu kweli,kwa hiyo wewe umejizaa mwenyewe kama Tanzania hakuna wanawake,acha dharau ndugu.
 
Kwahiyo mama yako na dada zako ni nyani yawezekana wewe hata mama yako huwezi mtambulisha kwa rafiki zako, (nkwende wee) kafie mbele huko wewe mwenyewe sura kama una puliza moto wa kuni mbichi
 
29791c45c97e7ed3f96d1d6a289f857a.jpg
Km wazuri ndo hawa kweli Tanzania tumejaliwa. Mimi tu hapo hakuna anayenifikia ata kidole
 
Km wazuri ndo hawa kweli Tanzania tumejaliwa. Mimi tu hapo hakuna anayenifikia ata kidole
Wewe ni Mhindi mwenye asili ya Tanzania ndo maana wajiona mzuri. sisi tunaongela pure african, kwahiyo ngoja kwanza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom