Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,416
- 16,603
Wewe nani kakwambia mimi muhindi [emoji15] sina ata chembe ya uhindi. Mimi ni pure Tanzanian ila hakuna anayenifikia hapo.Wewe ni Mhindi mwenye asili ya Tanzania ndo maana wajiona mzuri. sisi tunaongela pure african, kwahiyo ngoja kwanza.