Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

Sasa solution ni kumkomoa aliyezaa na binti yako? Kaa naye sasa hapo kwako uwe unamuona unafurahia, kijana ataoa kwingineko mbaki na masimango yenu kijijini
 
Umaskini taabu sana na ubaguzi wa waha kwa makabila mengine ndio shida hapo, una huruma sana, ningekuwa mimi hakika ningewaacha wote mtoto na mama ndio basi tena, sipendi dharau na huyo mzee ningemueleza mila za kabila langu ili aone utofauti, sipendi ujinga kabisa, mi nikichukia nakuonesha waziwazi sitaki ujinga
 
Honestly mlikosea kusogezana na mimba juu mwaka mzima hukwenda ata kujitambulisha, lakini pia ungejaribu kumchunguza binti na kujua aina ya familia anayotoka.

kama ni wachawi si ndo umekwisha bro..
 

Kwani huyo Mwanamke aliyepewa mimba alikuwa mtoto?
Mbona Watu mnaakili za kizamani hivi!
 
Mbaya zaidi ntalazimika kumuacha mtoto wao kwa makosa ya baba yake
Kumwacha napingana na wewe, utakuja kudondokea kwenye jivu lenye moto ndani, we endelea, yani unaunganishaje makosa ya baba mwenye matamaa ya pesa na mwanae.
Kwanza kwa upande mwingine inachangiwa na hasira ya baba mkwe kukuona uko mbali nao alafu uko karibu na binti yao...
 
Hii ilinitokea aisee,Kuna watu wa ajabu sana ila tulifunga ndoa pasipo wao kuwepo[emoji28][emoji28]ila kitimtim chale sio mchezo
 
Mzee yuko sahihi, hyo hela amejumlisha na faini ya wewe kuzaa na binti yake ilhali bado hujatoa mahari, so kumsingi tulia tu then baada ya mda ata wa miaka miwili waambie wakupunguzie mahari na ikiwezekana wapokee ile ile ofa uliyowapa mwanzo.
 
Wangekuwa wanafahamiana mahali ingesoma 800k tu🤣
 
Huyo mzee mjinga, kwanza ushatokea mtihan bint kazalishwa hilo la kupigwa faini ni mambo ya kijahiliyya(ujinga),
Klitakiwa awanaswih mkalete toba aunganishe udugu apate pa kutembea basi,,,
Mahali ndogo ni swadaaa nawala haifai kuleta tamaa
 
No, namuonea huyo dada huruma ataumia kisa upumbavu wa baba yake
Sasa akiachika halafu akaja hapa JF kutafta mume si mtaanza ooh tuonyeshe kabuli la mume wako, mala ooh kwanini uliachika mala single mother sijui laana. Yaani humu ndani JF hakuna jema wakat mungine. Na niliwahi kusema kabla hujamhukumu single mother chunguza kwanza Nani kapelekea kua single mothers.


NB:
Mkataba
Waarabu
Bandali
Miaka 100

Mbowe na lisu wanatucheleweshea sana maendeleo ya hii nchi
 
Siungekufaa ukija Kwa sisi wamasai na umemzalisha mtoto wao bila kuoa naungepigwa mpaka usirudi Tena .

1.kwa ambaye ni bikra hajasoma ni ng'ombe 25 ambapo ukipiga mahesabu ya haraka ni ml 25
Kama ulimzalish ni ml 6 fine so 31ml .

2. Sasa awe na elimu na ni bikra huwezi mchukua kabisa kama sio ml 60 unaitoa Kwa macho

3.kama ameshatenguliwa na unamwona na anaelimu ni ml 15 bila chenga kama umemzalisha basi utaongeza kumi 5ml mahari na 5ml fine .

So hiyo 4.5 ni ndogo hapo hujatoa madebe 6 ya pombe ml 1 kujitambulisha
Umetoka ukoo gani na umekuja kufanya Nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…