APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Ukimuacha huyo mwanamke utakuwa umeonyesha madhaifu makubwa na pia unaweza sababisha matatizo upande wako. Kina Yemga wanaweza kukuwangia.Na hapa ndipo penye mkwamo, nakosa namna yoyote ya kufanya isipokuwa kumuacha kabisa mtoto wao, japo ni kweli nampenda ila sina namna!
Kama ni mahari lipia kidogo kidogo mkuu kwani shida iko wapi na mkeo ushampenda.