Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Kaka pole ila tumia busara, Lower your ego....kumuacha huyo mwanamke ni kutengeneza tatizo kubwa zaidi maana hakuna mzazi anayetaka mwanae azalishwe kisha aachwe. Nadhani hizo hasira za baba ni za muda mfupi tu hata wewe usingependa mwanao azalishwe kienyeji.
Utamuumiza sana mama na mtoto ambao hawana hatia ...ongea na washenga wako ikibidi hyo pesa uwe unalipa kidogokidogo mahari huwa haimaliziwi. Tofauti na hapo utajitafutia matatizo makubwa zaidi waha sio watu wa mchezomchezo eti..
Utamuumiza sana mama na mtoto ambao hawana hatia ...ongea na washenga wako ikibidi hyo pesa uwe unalipa kidogokidogo mahari huwa haimaliziwi. Tofauti na hapo utajitafutia matatizo makubwa zaidi waha sio watu wa mchezomchezo eti..