Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Dah vp jamii na ndugu watanionaje mimi?
Kwani unapiga miti hadharani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah vp jamii na ndugu watanionaje mimi?
Sio kwel na haipo hivyo aliniambia ukidhubutu nawaachia nyumba mi natokaNaona kama hadithi tu.
Yaani umemwambia kabisa mkeo mi nampenda sana mdogo ako akukupiga biti tu? Na mkeo akatoka akamwadithia mdogo ake kuwa shemejio anakupenda sana.....ha ha ha ha...wote 2 mtakuwa hamko sawa kichwani.
Anyway kama ni kweli basi huyo mdogo mtu ahamishwe akakae kwingine mbali.
Au si uende kwa wakwe tu uoe wote 2 shida ikwapi kwani? Ha ha ha ha
Anaenda wp kumsomesha kwote atanilipa nan?Mhamishe hapo nyumbani kwanini uteseke
Unakitoaje unachokipenda wataka nife[emoji14][emoji12][emoji12] hapa nikudai katiba mpya tu hakuna namna[emoji124][emoji125][emoji125]Usijaribu utavunja ndoa yako, hafu mkeo amtoe huyo mdogo wake hapo
Mstar wangp mkuu nimuoneshe na wifemaandiko yanatueleza yakobo aliwaoa mtu na dada yake, mpaka hapo yanayobaki ni maamuzi yako
Huyo mume anajua gharama nilizo toa kyumsomesha! Vp Atalipa yeye? Kama sio kuniongezea mzigoMtafutie mume aolewe, aondoke hapo
Nooo yessssBro umewahi kuwa na mpenzi nje ya ndoa yako? Nani atakae waambia? Japo mapenzi ni kikohozi
Mapenz n kama uviko[emoji12][emoji12][emoji12]Kwani unapiga miti hadharani?
mimi ni Engineer by professional, ko tunaweza ongea zaidiNaogopa kukutapeli hahaha( joke) mkuu campun yetu inahusika kwenye tenda za barabara cotruction kama unasifa za udereva au kuendesha mitambo karibu
Anaenda wp kumsomesha kwote atanilipa nan?
[emoji23][emoji23][emoji23]ndoa yako itakufa mazima uanze kupata stress had kugawana Mali mahakamani ndo utajua hujui. Yeye mkeo atamsamehe mdogo wake maisha yaendeleeUnakitoaje unachokipenda wataka nife[emoji14][emoji12][emoji12] hapa nikudai katiba mpya tu hakuna namna[emoji124][emoji125][emoji125]
Wakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga.
Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza.
Sio kwel na haipo hivyo aliniambia ukidhubutu nawaachia nyumba mi natoka
Wakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga.
Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza.
Nimejikuta nampenda kias kwamba na shindwa kujizuia kuna muda mpaka nikahama hapa home na kwenda kupanga mkoa mwingine ili kudhibiti hisia zangu lakin kila nikirud hali inajiludia ikabidi niongee na wife kuhusu hili jambo.
Nashukuru wife alinipiga mkwala roho ikatulia lakin imekua kwa muda kitendo cha kumuona tu akili yangu inateseka sana.
Sasa wakuu nifanyeje nitoke kwenye hiyi hali maana hata yeye anajua kupitia dada yake na ubaya ninaishi nae hapahp.
Mniokoe jaman kuna miaka mi nne sasa inapita mwenye mbinu anipe nisije nikajivunjia heshima na isitoshe jamii inauonizunguka inanichukulia kama kioo kupitia tuvikampun na vigari vya urithi.
Maana hisia hazina mbabee alishindwa Samsoni mtu wa Mungu kwa Delilha mimi ni naniii.
Tatizo ni moyo si mm moyo usichz na moyoUsiharibu ndoa yako kwa tamaa za kijinga.
Mkewangu mtu wa Mungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndoa yako itakufa mazima uanze kupata stress had kugawana Mali mahakamani ndo utajua hujui. Yeye mkeo atamsamehe mdogo wake maisha yaendelee
Mmh bint yng hapan nimeshindwa wafanya kaz wangu wapo zaid ya 32 tena waremb kushinda ht huyu shem lkn sijawh ht kuw na hisia naoBrother, mie najua wanaume woote tuna tamaa sana lkn unapaswa kujua halali na haramu. ukishindwa kujizuia hapo ipo siku utatembea na binti yako kwa kisingizio cha kushindwa kujizuia. Potezea kabisa.