Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
😂 😂 😂Washirikishe na wazazi wa pande zote mbili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂Washirikishe na wazazi wa pande zote mbili.
So ananitega au?Wanawake huwa tunnawaza tofauti na tu nayo ongea
Linda ndoa yako
Kitendo cha Dakika 20 kinaweza kudestroy amani yako ya maisha
Dharau hizoo broo
Nakushauri umuoeWakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga.
Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza.
Nimejikuta nampenda kias kwamba na shindwa kujizuia kuna muda mpaka nikahama hapa home na kwenda kupanga mkoa mwingine ili kudhibiti hisia zangu lakin kila nikirud hali inajiludia ikabidi niongee na wife kuhusu hili jambo.
Nashukuru wife alinipiga mkwala roho ikatulia lakin imekua kwa muda kitendo cha kumuona tu akili yangu inateseka sana.
Sasa wakuu nifanyeje nitoke kwenye hiyi hali maana hata yeye anajua kupitia dada yake na ubaya ninaishi nae hapahp.
Mniokoe jaman kuna miaka mi nne sasa inapita mwenye mbinu anipe nisije nikajivunjia heshima na isitoshe jamii inauonizunguka inanichukulia kama kioo kupitia tuvikampun na vigari vya urithi.
Maana hisia hazina mbabee alishindwa Samsoni mtu wa Mungu kwa Delilha mimi ni naniii.
Watu mna roho [emoji110]np mbinu mkuuMrudishe kwa wazazi wake kama unakaa naye nyumbani kwako
[emoji23][emoji23] [emoji122][emoji106]Mpelekee moto shemeji
Ulete mrejesho
Naogopa kukutapeli hahaha( joke) mkuu campun yetu inahusika kwenye tenda za barabara cotruction kama unasifa za udereva au kuendesha mitambo karibu
Dah vp jamii na ndugu watanionaje mimi?
MWANZO29: 1-30Mstar wangp mkuu nimuoneshe na wife
Petrol tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]petrol ina kuita bro
, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Ha ha ha ha.....huo mwandiko kweli umerithi kampuni
Ubarikiwe mtumish ngoja nimle tu kumbe mm sio wa 1MWANZO29: 1-30
[emoji120][emoji120][emoji126][emoji126]Hilo utalifungulia uzi mwingine baadaye kwani sasa wewe fanya kupiga kwanza.
Shemeji wa kike akiishi kwako tafuna tu,huwa mtamu kma dada yake jaribu ulete mrejeshoWakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga.
Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza.
Nimejikuta nampenda kias kwamba na shindwa kujizuia kuna muda mpaka nikahama hapa home na kwenda kupanga mkoa mwingine ili kudhibiti hisia zangu lakin kila nikirud hali inajiludia ikabidi niongee na wife kuhusu hili jambo.
Nashukuru wife alinipiga mkwala roho ikatulia lakin imekua kwa muda kitendo cha kumuona tu akili yangu inateseka sana.
Sasa wakuu nifanyeje nitoke kwenye hiyi hali maana hata yeye anajua kupitia dada yake na ubaya ninaishi nae hapahp.
Mniokoe jaman kuna miaka mi nne sasa inapita mwenye mbinu anipe nisije nikajivunjia heshima na isitoshe jamii inauonizunguka inanichukulia kama kioo kupitia tuvikampun na vigari vya urithi.
Maana hisia hazina mbabee alishindwa Samsoni mtu wa Mungu kwa Delilha mimi ni naniii.