BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
🤣🤣🤣🤣 mshauri huyu anayetamani kumgegeda shemeji yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu wewe na mkeo wote ni kondookila nikirud hali inajiludia ikabidi niongee na wife kuhusu hili jambo.
ngoja kukuche nitarudi kucoment mana nina wenge la usingiziNashukuru wife alinipiga mkwala roho ikatulia lakin imekua kwa muda kitendo cha kumuona tu akili yangu inateseka sana.
Kwani I inakataa sasa, sie tushazoea hatuogopi tena, ngoja tufumaniwe ndo tutajua hatujui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mshauri huyu anayetamani kumgegeda shemeji yake.
Arudi alikotoka.Wakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga.
Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza.
Nimejikuta nampenda kias kwamba na shindwa kujizuia kuna muda mpaka nikahama hapa home na kwenda kupanga mkoa mwingine ili kudhibiti hisia zangu lakin kila nikirud hali inajiludia ikabidi niongee na wife kuhusu hili jambo.
Nashukuru wife alinipiga mkwala roho ikatulia lakin imekua kwa muda kitendo cha kumuona tu akili yangu inateseka sana.
Sasa wakuu nifanyeje nitoke kwenye hiyi hali maana hata yeye anajua kupitia dada yake na ubaya ninaishi nae hapahp.
Mniokoe jaman kuna miaka mi nne sasa inapita mwenye mbinu anipe nisije nikajivunjia heshima na isitoshe jamii inauonizunguka inanichukulia kama kioo kupitia tuvikampun na vigari vya urithi.
Maana hisia hazina mbabee alishindwa Samsoni mtu wa Mungu kwa Delilha mimi ni naniii.
Kumbe una nia ya dhati ya kutaka kujilipa na sio kuokoa ndoa yako! Kama hana wazazi si utapokea mahari?Huyo mume anajua gharama nilizo toa kyumsomesha! Vp Atalipa yeye? Kama sio kuniongezea mzigo
Kama ni wambulu huwa wanakubali ila siyo kabila jingineHivi unaanzaje mwambia mkeo kua unamzimia mdogo wake..mzee utachapiwa hadi akili inyoke we vimba tu na hizo mali za wazazi kama medi dewji
Kwani ukisha piga utaenda kwa ndugu na Jamii inayokuzunguka uwaambie kua leo nimepiga!? Kama unaweza na umezidiwa na Shem wako kakubali piga faster ule kabunyau Maisha mengine yaendelee!!Dah vp jamii na ndugu watanionaje mimi?
Babu yangu mzaa mama nae alimuoa bibi mzaa mama na mdogo wake (bibi) mdogo...mambo ya zamani noma [emoji1][emoji1][emoji1]Maandiko yanatueleza Yakobo aliwaoa mtu na dada yake, mpaka hapo yanayobaki ni maamuzi yako
Wazir kashasema awe na chet cha ndoa[emoji12][emoji12]Kwani I inakataa sasa, sie tushazoea hatuogopi tena, ngoja tufumaniwe ndo tutajua hatujui
Hapa ndio kwaoArudi alikotoka.
Mmmh malii[emoji41] ndugu zake watakuwapKumbe una nia ya dhati ya kutaka kujilipa na sio kuokoa ndoa yako! Kama hana wazazi si utapokea mahari?
Yaitaj moyo wa ujasir [emoji6][emoji6]Mkuu itisha kikao cha ukoo uwaelezee maana ni suala muhimu hilo
Hayo ni mawazo yk mkuu kwan yakobo wa kweny bible alikuwa mse**ngUna tamaa za kisen** mheshimiwa,mnakimbiliaga kuoa ili mpate nini,ona sasa unavyojidhalilisha humu JF kwa kuomba ushauri kufanikisha usen** wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Kwani ukisha piga utaenda kwa ndugu na Jamii inayokuzunguka uwaambie kua leo nimepiga!? Kama unaweza na umezidiwa na Shem wako kakubali piga faster ule kabunyau Maisha mengine yaendelee!!
Mpaka kifo kitutenganishe [emoji13][emoji13]nampenda sana wife wngMkeo nae si angemwondoa tu hapo kwako. Anasubiri ubanjuke nae ndio akili imkae sawa
Unampenda mke na shemeji yako? huwezi kuwa serious. Cha kufanya mwambie mkeo amtoe huyo shemeji yako hapo kwenu kabla hujabanjuka nae kimwiliMpaka kifo kitutenganishe [emoji13][emoji13]nampenda sana wife wng