Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Muweke karibu, mjali sana, mhurumie sana, hata akikuomba kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako pambana akipate, siku zote ikitokea migongano au tatizo lolote simama upande wake mtetee pamoja na hayo mengine uliyopanga kumfanyia mwisho wa siku hata hutatongoza atalainika mwenyewe utajisevia bila nguvu nyingi.Nipe mbinu mkuu maana kuna saut mbl zinatoka ndan yang moja inasema utadhalilika nyingine inasema kampangie chumba mana kazi nimemtafutia sasa niisikilize saut gan ndio mtihan
Ku care ndo kila kitu