Nimetokea kumpenda shemeji, nashindwa kujizuia

Sio kwel na haipo hivyo aliniambia ukidhubutu nawaachia nyumba mi natoka
 
Unakitoaje unachokipenda wataka nife[emoji14][emoji12][emoji12] hapa nikudai katiba mpya tu hakuna namna[emoji124][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23]ndoa yako itakufa mazima uanze kupata stress had kugawana Mali mahakamani ndo utajua hujui. Yeye mkeo atamsamehe mdogo wake maisha yaendelee
 

Brother, mie najua wanaume woote tuna tamaa sana lkn unapaswa kujua halali na haramu. ukishindwa kujizuia hapo ipo siku utatembea na binti yako kwa kisingizio cha kushindwa kujizuia. Potezea kabisa.
 
Brother, mie najua wanaume woote tuna tamaa sana lkn unapaswa kujua halali na haramu. ukishindwa kujizuia hapo ipo siku utatembea na binti yako kwa kisingizio cha kushindwa kujizuia. Potezea kabisa.
Mmh bint yng hapan nimeshindwa wafanya kaz wangu wapo zaid ya 32 tena waremb kushinda ht huyu shem lkn sijawh ht kuw na hisia nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…