Nimetokea Mbali

Nimetokea Mbali

Saaafi sana , hapo hujui kama chakula, malazi ni gharama, njaa ikiuma unalia 2 mama atajua cha kufanya.
 
Hiyo mimi nimeiscan! Linganisha na umri wangu wa sasa hapo kwenye Avatar.
mbona umejajikondea sana mchungaji?ulikuwa kibonge au karaha za mama mchungaji?isije ikawa unatumia muda wa kula kutupa ushauri waamini wako
 
very nice one Rev Masanilo utoto mzuri sana ,,,,huna tyme na maisha mengine natamani kuwa malaika ...natamani kuwa mtoto.
kweli f1, child life is the lovely,fascinating and most exiciting life ever in our history
 
mbona umejajikondea sana mchungaji?ulikuwa kibonge au karaha za mama mchungaji?isije ikawa unatumia muda wa kula kutupa ushauri waamini wako

Maisha yamenichakachua sana!
 
kwani wenzio tunaishi JUPITER au PLUTO?usisumbuke sana na matendo ya kondoo wako wengine wana laana za mamiaka hawataelewa hata ubebe bunduki

Nyie wengine mumezaliwa wakati wa Dot.com maisha mstali sasa mimi ugumu umeanza zamani.
 
kwani wenzio tunaishi JUPITER au PLUTO?usisumbuke sana na matendo ya kondoo wako wengine wana laana za mamiaka hawataelewa hata ubebe bunduki
wala asisingizie kondoo wake
wale kondoo wake niwajuavyo ni wapole na wanyenyekevu mno,
kila kitu akisema mchungaji wanaitikia ,ndiyo
labda mama mchungaji huwa namwona mkali kidogo
 
185977_191141797584474_100000659646639_543071_7462365_n.jpg


Maisha starehe enzi hizooooo!


Rev,
Kwani sasa hivi kuna khofu gani mkubwa? Fataki or wizi wa watoto
 
Rev,
Kwani sasa hivi kuna khofu gani mkubwa? Fataki or wizi wa watoto

Siku hizi naona watoto wanacheza na iPod Touch na wamekuwa wamevalishwa suti hata wakati wa jua kali.
 
Back
Top Bottom