Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh hilo pozi sio mchezo,unanikumbusha mengi sana mkuuHilo ni pozi la kupigwa picha!
hiyo Avatar haina uhalisia wowote na umri wako,Hiyo mimi nimeiscan! Linganisha na umri wangu wa sasa hapo kwenye Avatar.
mbona umejajikondea sana mchungaji?ulikuwa kibonge au karaha za mama mchungaji?isije ikawa unatumia muda wa kula kutupa ushauri waamini wakoHiyo mimi nimeiscan! Linganisha na umri wangu wa sasa hapo kwenye Avatar.
kweli f1, child life is the lovely,fascinating and most exiciting life ever in our historyvery nice one Rev Masanilo utoto mzuri sana ,,,,huna tyme na maisha mengine natamani kuwa malaika ...natamani kuwa mtoto.
duh basi kunauwezekano tukawa na gene relationships
- ImalaNguzu
- ImalaMiligo
- ImalaMagazi
Kote huko nina jamaa zangu
yamekuchakachua wapi wang'wise?Maisha yamenichakachua sana!
kwani wenzio tunaishi JUPITER au PLUTO?usisumbuke sana na matendo ya kondoo wako wengine wana laana za mamiaka hawataelewa hata ubebe bundukiMaisha yamenichakachua sana!
Saaafi sana , hapo hujui kama chakula, malazi ni gharama, njaa ikiuma unalia 2 mama atajua cha kufanya.
hayo ni majina tu mchungaji wanguNinahisi wewe unatokea ImalaNgoko.
wala asisingizie kondoo wakekwani wenzio tunaishi JUPITER au PLUTO?usisumbuke sana na matendo ya kondoo wako wengine wana laana za mamiaka hawataelewa hata ubebe bunduki
wewe kweli umetoka mbali..lolNyie wengine mumezaliwa wakati wa Dot.com maisha mstali sasa mimi ugumu umeanza zamani.
![]()
Maisha starehe enzi hizooooo!
Siku hizi naona watoto wanacheza na iPod Touch na wamekuwa wamevalishwa suti hata wakati wa jua kali.