Nimetokea Mbali

Nimetokea Mbali

Enzi hizo kukiwa na disko kama hilo kijiji kizima kinajua kama leo kuna mambo mazito sehem sehem

Mambo ya 'shauri yako' and the like

Asante sana Mkuu Rev ndo maana huwa tunakumis kila wale jamaa wakikuweka lupango (CDM wametukumbusha kuandamana this time tutaandamana tu hadi kieleweke) LOl
 
mkuuu inaelekea wewe ni wa juzi maana colour ya picha inaonekana ni ya teknolojia ya miaka ya hivi karibuni,
 
Utoto tabu tu!Wengine wanalala njaa..wanalala kwenye vumbi..funza zinaharibu miguu kwaajili ya kutembea peku!Wanapigwa na kunyanyaswa kila siku..wanafanyishwa kazi zaidi ya punda bila kujua hatma yao..wengine wanaozeshwa bila hata kujua maana ya neno ndoa!
 
Miaka hiyo nakunywa maji ya dimbwi na viluilui vyake ....kuoga humo humo.... Hakuna kuugua...afya ngangari...!
Jaribuni leo uone utakavohara...!!
 
ha hah aaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiii mbavu zangu mie hako ka katikati kadogo ndio kamenifurahisha zaidi, umenikumbusha mbali sana!! hapo lazima mpiga picha aliwaambia haya chezeniiiiiiiiii
 
hahahahaha,dah yaani huko vijijini watoto wana furahia kupigwa picha tu!
Wangejua zinako enda duh
 
Miaka hiyo nakunywa maji ya dimbwi na viluilui vyake ....kuoga humo humo.... Hakuna kuugua...afya ngangari...!
Jaribuni leo uone utakavohara...!!

Nimependa avatar yako! Ni Ngeleja huyo?
 
acha uwongo bwana hizo picha zaonekana za juzijuzi, angalia ule mkoko wa kisasa kabisa na na hizo chupi, enzi zile kulikuwaga na Coast
 
Back
Top Bottom