Enzi hizo kukiwa na disko kama hilo kijiji kizima kinajua kama leo kuna mambo mazito sehem sehem
Mambo ya 'shauri yako' and the like
Asante sana Mkuu Rev ndo maana huwa tunakumis kila wale jamaa wakikuweka lupango (CDM wametukumbusha kuandamana this time tutaandamana tu hadi kieleweke) LOl
Utoto tabu tu!Wengine wanalala njaa..wanalala kwenye vumbi..funza zinaharibu miguu kwaajili ya kutembea peku!Wanapigwa na kunyanyaswa kila siku..wanafanyishwa kazi zaidi ya punda bila kujua hatma yao..wengine wanaozeshwa bila hata kujua maana ya neno ndoa!
ha hah aaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiii mbavu zangu mie hako ka katikati kadogo ndio kamenifurahisha zaidi, umenikumbusha mbali sana!! hapo lazima mpiga picha aliwaambia haya chezeniiiiiiiiii