Nimetongozwa na kavulana kauza bucha la nyama

Kirumba sokoni au Nela? hebu njoo tuonane sisi watu wazima kwanza,achana na watoto NAKWEDE,

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
hahahahahah, mi noti ya wapi? nimenunua nyama ya Tshs.24,000/= tu
Yaani kilo tatu steak
Ndo mana ulimdatisha Dogo wew,, kazoea kukata nyama robo robo... 3kg mbona akaona kashafika.. ila usimkatishe tamaa.
 
Kirumba sokoni au Nela? hebu njoo tuonane sisi watu wazima kwanza,achana na watoto

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Kirumba sokoni bucha namba 28 kwa Mwarabu hapo
 
Dogo anataka Kusoma Katiba hivi hivi.
 
Hahahaha!! Pole sana.
Dogo baada ya kuona pochi imetuna akahisi kiu ghafla, ungemtupia mwekundu tu akanywe maji aache usumbufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…