Haogopi wazeeDogo anataka Kusoma Katiba hivi hivi.
Sidhani kama kataendelea tena, maana nilikafyonza kwa nguvu sana na kwa dharauHutasema hapa.
Dogo huyo ni jasiri na ninamsifu.
Subiri tu. Labda ubadili bucha.
Tena mfanye haraka, msituudhi mama zenu. hahahaha
Hahahhaaa... Ngoja.Sidhani kama kataendelea tena, maana nilikafyonza kwa nguvu sana na kwa dharau
Mkuu madogo wanasema kusoma Katiba kongwe kuna raha zake. Teh tehHaogopi wazee
dogo akipewa namba atakuwa na jipya coz alishia zinguliwa awaache kaka zake wale mema ya nchiinakushauri ukirudi umpe namba ili nafsi yake iburudike....
alafu nahc unabonge la chura maana huo ndo ugonjwa wetu mkuu bila kujali rika
Maadili kuporomoka na wanaume kutokujitambuaHivi ni hali ngumu, au basi tu ni kuporomoka kwa maadili na utandawazi?
Na mtume alivojichujulia jimama angali akiwa kijana mdogo ni mporomoko wa maadili au ukata???
nyama ya ukerewe ni nyama gani hiyo