Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

Aisee! Wewe ni jasiri sana.
 
Aliyekutonya kakudanganya.
 
Naomba Mungu Paul Makonda asitenguliwe bali aendelee na hiyo kazi aliyoanza ili 'kuharakisha anguko' linalosubiriwa kwa hamu na gamu!
 
H Hii mtu ni kichwa ngumu na (hana adabu) ethics za uongozi hazipo kwenye ubongo wake aliwe tu kichwa!.
 
Crap
 
Nyodo za huyo dada ziko kwenye hiyo clip au kuna clip nyingine
 
Stupid nonsense!.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Sawa
 
Kuna taratibu za kuiwajibisha viongozi wazembe kazini na sio kudhalilishana hadharani.
 
Hakuna hekima kwenye ujinga.

Mtu mjinga unapasuka nae jumla jumla.

Hekima kanisani huko na kwenye jumuia za mtakatifu petro.
Hahaha unqjua Watanzania ni wapuuzi sana!
Wanasema wanataka hekima ila ukiwauliza hekima hiyo walikuwa nayo akina Warioba Nyerere,Kawawa nk
Lakini wizi na umasikini uko palepale!
 
Aondolewe hafai ni ndhalikishaji na mbadhirifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…