Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

Makonda hana tatizo..tatizo lipo kwa wanaomteua (sidhani kama vetting huwa inafanyika vizuri) ...kwa nn anateuliwa na kupewa nafasi ya kuongoza wananchi wakati hulka yake inajulikana...wampe nafasi akae kwa ofisi tu kama wanamhitaji...
 
Mamlaka ya uteuzi inajitahidi sana kumbeba. Kwamba kabla mamlaka ya uteuzi haijawa na mamlaka kamili, iliombewa mamlaka ndogo na Makonda. Hilo ndilo linalomgharimu mama.
 
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.

Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.

Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Huyo ni Mtoto pendwa wa mama. Afurushwe? Mtasubiri sana
 
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.

Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.

Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Acheni Makonda afanye kazi yake
 
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.

Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.

Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Huo ni mtazamo wako tu lakini
 
Back
Top Bottom