Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Edit uweke hii kwenye uzi mkuu:Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Roho mbaya tulizo nazo hazijafikia ile ya MakondaWabongo mna roho mbaya sana and usikute pia wew ni mshirikina na masikini wakutupwa huko ulipo
Wewe ni mpuuzi!Yuel dada alijibu kwa dharau kwenye mambo serious,,inawezekqna alifanya hivyo ili wapate sbb yakumtumbua sbb wanamtafuta
Kutulia sio hulka yake!Akitulia anakia kiongozi mzuri, tatizo mdomo, hana brakes and that is a bad news
Bashite ni takataka.Kwa lipi? Nyie sijui mnafikiria kwa kutumia nini? Bashite ni mtoto mdogo sana nchini. Ni kachawa kadogo sana kale kajamaa.
Mpuuzi!Wanafiki mmetia timu kazini kuleta umbea na fitna.
Tena mimi ningekuwa makonda ningemchapa viboko huyo dada.
Kuna watumishi wazembe sana na wajinga, ni kucharaza mboko mpaka wanyooke kama rula.
Samia aniteue mimi Bichwa Komwe nimuonyeshe venye watumishi wananyooshwa.
Kwani hakuna hatua za kumchukulia mtu mzembe!Tatizo la watumishi wengi wa umma ni wazembe na wavivu ndio maana hawatimizi majukumu yao. Inapotekea ufuatiliaji kama hivi, ndio anabaki ang'ata ulimi tu. Hata kujieleza anashindwa. Mnalea uzembe.
Mpuuzi!Hahaha unqjua Watanzania ni wapuuzi sana!
Wanasema wanataka hekima ila ukiwauliza hekima hiyo walikuwa nayo akina Warioba Nyerere,Kawawa nk
Lakini wizi na umasikini uko palepale!
Muda ni jawabu tosha sana. Utaona aibu kwa hii comment yako. We unafikiriUtasubiri sana. Aliyemteua anamfahamu kuwa ni mtu wa aina hiyo, laiti angekuwa anachukia matendo ya hivyo, asingemteua kabisa.
Huyo ni Mtoto pendwa wa mama. Afurushwe? Mtasubiri sanaWekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Acheni Makonda afanye kazi yakeWekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Nao waongo siku hizi,hawana habari za uhakikaMjomba wangu ni afisa kipenyo, alichoniambia soon tutasimuliana.
Duh!Serious gani wewe, majitu majizi na mazembe lazima yacharazwe viboko.
Hapo makonda aendelee kushikilia gia na kuwapelekea moto mpaka washike adabu.
Mmezoea uvivu na kudekezwa.
Siyo kweli. Samia hategemei kura za wananchi kushinda uchaguzi, bali tume na dolaKama akimtumbua just for that kauli,Basi Samia 2025 Asahau kushinda.
Hivi like gari la kipanya limeshaanza kuingia barabarani?
Huo ni mtazamo wako tu lakiniWekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.