Nimetukaniwa Mzazi wangu kwa SMS, Naombeni Muongozo!

Matusi si ruksa ila maelezo yako naona hayajajitosheleza - mtu akutukane wewe na mzazi wako kila mara bila sababu????????!!!!!!!

Kwa tafsiri yako kama kuna sababu ama maelezo yasiyojitosheleza, mtu akikutukana kila mara hakuna tatizo! Aisee!
 
Kutoka huko atokako awatukana wazazi wako, hapana;
Ungesema zaidi kidogo.
 

tafuta kituo cha polisi kilicho karibu nawe, au hata kilichokaribu naye, kafungue kesi mkuu. kuwa makini tu, kama una matatizo naye ujue utamfanya na yeye afungue kesi dhidi yako. kaeni mmalize mambo yenu, mambo mengine madogomadogo kusimamishana mahakamani ni kujipotezea muda na pesa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…