Dr.Chichi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 2,393
- 632
Hahaha, mkuu kwahiyo nimuache tu jamaa aendelee kutamba? Hii si mara yake ya kwanza ujue!
unamuita mzazi wako jamaa???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, mkuu kwahiyo nimuache tu jamaa aendelee kutamba? Hii si mara yake ya kwanza ujue!
Mkuu hebu jiweke katika position yangu, ungefanyaje ingekuwa wewe? Inaonekana wewe mtu wa mitusi pia!
Hahaha, mkuu kwahiyo nimuache tu jamaa aendelee kutamba? Hii si mara yake ya kwanza ujue!
Tatizo nini??????
Wakati jamaa anakomaa kutukana, wewe komaa kuuza mbao, mwisho wa siku utajua mjinga ni naniHadi kuileta hapa mkuu, ujue si jambo la muda mfupi!
jamaa hajataka kufunguka...nadhani angetuambia waliko anzia hadi akaanza kuporomoshewa matusi angepata ushauri mzuri sana....anyway kama vipi amshughurikie kichawi tu!
mtukanie wake pia tu
amtukanie tu hivyo hivyo kuna moja litamuumaje kama jamaa anamzidi ubavu...
amtukanie tu hivyo hivyo kuna moja litamuuma
atachukua jiwe ampige naloakipigwa?
mtukanie wake pia tu
ha a hahahahahabora ungesema amroge..