Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
- Thread starter
-
- #21
this has nothing to do with simba or yanga, am actually neutral fan I love watching football, I hate corruption za kiwaki kama hiziMlitaka mkutane na mwanenu Singida ili awapanulie miguu kama kawaida yenu,mumeula wa chuya,J2 tunawapiga kama ngoma
Hiyo michuano utambuliko wake ni gani?sio kwa ubaya ila i had to send it, haya mambo tukiacha yatatucost sana. na evidence nitwaambia zipo azam TV tanzania. sio hater ila things like these shouldn't happen in our football league ever, tumetoka huku
Email : Integrity@TheFA.com
mnaweza tuma pia.
match fixing shouldn't be tolerated kabisa. toa ushabiki pembeni.
integrity should be respected.
View attachment 2713952
match fixing haina ushabiki. we shouldn't support this. ligi yetu tutapigiwa pini siku kisa match fixing.Mwaka huu utajinyonga na utakufa kabisaaa kqa kihoro. Huu ndio wakati KARIA, TFF, MAREFA na BODI YA LIGI watatukanwa mwanzo mpaka mwisho kisa tu kuna Mataahira yasiyo na akili timu yao inafungwa na Simba.
Jakaya na Baba Manara pekee ndio wenye akili vichwani nyie wengine UTI imeshatafuna ubongo ndio maaana unaaanzisha nyuzi makamasi.
tff own the competition. so the integrity is severely breachedHi
Hiyo michuano utambuliko wake ni gani?
Nyie si mlikuwa mnasema mnatutaka?
Ndio mmefikia huku?
Hii energy ungekuwa nayo pia msimu uliopita kwenye magoli ya mchongo timu fulani iliyokuwa inapewa, ningekuunga mkono.sio kwa ubaya ila i had to send it, haya mambo tukiacha yatatucost sana. na evidence nitwaambia zipo azam TV tanzania. sio hater ila things like these...
tell me the date and the match na referee mimi na report, TFF wanataka kuaribu mpira wetu they should be stoppedHii energy ungekuwa nayo pia msimu uliopita kwenye magoli ya mchongo timu fulani iliyokuwa inapewa, ningekuunga mkono.
Singida wakienda na attitude waliyoonyesha leo huko Shirikisho, hatua ya kwanza tu wanatupwa nje. Ni calls chache sana ambazo ningeweza kusema kweli hazikuwa sahihi, ila kwa kiasi kikubwa walikuwa wanatafuta huruma ya watazamaji badala ya kucheza mpira.
Unapoteza muda wako. Kwanza FIFA wanahusikaje na mashindano hayo au hata ya ligi ya ndani?tell me the date and the match na referee mimi na report, TFF wanataka kuaribu mpira wetu they should be stopped
Well nimeshapoteza. I can't take that backUnapoteza muda wako. Kwanza FIFA wanahusikaje na mashindano hayo au hata ya ligi ya ndani?
PoleeeWell nimeshapoteza. I can't take that back
asante. uzuri wa wazungu they always consider these things, fifa year report my data will be included. in case reportedPoleee
Sasa mbona hio email sio ya FIFA ni ya FA ya England 👀
Sasa mbona hio email sio ya FIFA ni ya FA ya England
Wala huna Cha maana ulichoandika. Unafikiria FIFA ni kijitaasisi fulani Cha mtaani kwenu? Yaani huna hata evidence na unakuwa guided na mihemko. Mpira ni mchezo wa wazi kabisa ila kama makosa ulikuwa huyaoni, ni wewe. Issue sensitive kama match fixing unaizungumzia kama kishika uchumba. Unahitajika ushahidi hasa beyond reasonable doubt. Singida ila game walicheza Kwa nguvu jambalo ambalo limepelekea kufanya makosa mengi mchezoni.Sio kwa ubaya ila i had to send it, haya mambo tukiacha yatatucost sana na evidence nitawambia zipo Azam TV Tanzania. Sio hater ila things like these shouldn't happen in our football league ever, tumetoka huku.
Email :integrity@fifa.org
Match fixing shouldn't be tolerated kabisa, toa ushabiki pembeni.
integrity should be respected.
View attachment 2713952
Case number nimepata na password kama wata follow through na my case basi nitaleta mrejesho some day.
Nitumia both emails and portal.
JE NILIREPORT NA INTERPOL SPORT FIXING ??
Unamtisha nani na kingereza chako cha chekechea hicho, kama vipi kunya boga tujue umechukia kweli.this has nothing to do with simba or yanga, am actually neutral fan I love watching football, I hate corruption za kiwaki kama hizi