APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama wanaolishangaa wapo wengi,mwakani lipeleke sabasaba maonesho, unaweza ukapiga hela.
😂😂😂Kama wanaolishangaa wapo wengi,mwakani lipeleke sabasaba maonesho, unaweza ukapiga hela.
Mwamba amekalia utajiri 😅😅😅
Itabidi nifanye hivyo mkuu naweza nikapiga pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
KabisaMwamba amekalia utajiri 😅😅😅
Alafu anachukulia powa kaka juu ya pesaMwamba amekalia utajiri 😅😅😅
Raha sana ukijinyea unachambishwa na mamaUtaambiwa utoto raha
Hongera sana😷Raha sana ukijinyea unachambishwa na mama
Matajiri wanakawaida ya kuchanganyikiwa kidogo. Broh unanyota ya utajiri. Check unavyoji-quote na kujijibu.Itabidi nifanye hivyo mkuu naweza nikapiga pesa
Hongera ya kuchambishwa auHongera sana😷
Hahaha siunajua hapa nahesabu pesaMatajiri wanakawaida ya kuchanganyikiwa kidogo. Broh unanyota ya utajiri. Check unavyoji-quote na kujijibu.
Oil nyeusi mkuu nipake auKataa Dumuzi, pakaa oil
Kibanda officeKazi nzuri, ni kibandaoski?
yep, wale wadudu wangese sana, wawahi kabla hawajakuwahiOil nyeusi mkuu nipake au