Nimetumia mbao mwanzo mwisho..kila anayepita analishangaa banda hili...

Nimetumia mbao mwanzo mwisho..kila anayepita analishangaa banda hili...

Matajiri wanakawaida ya kuchanganyikiwa kidogo. Broh unanyota ya utajiri. Check unavyoji-quote na kujijibu.
Mi anisaidie tu kibarua tu kwa wiki mbili zilizobaki za Likizo...nimelala sina cha kufanya kabisa hapašŸ˜”
 
View attachment 2449076View attachment 2449077

Kama picha inavyojionyesha,nimejenga hili banda kwa kutumia mbao mwanzo mwisho,wengine wananiambia ni gejenga banda la chuma,wengine wananiambia nimetumia gharama sana kujenga banda hili maana mbao zimekuwa ghari,wabongo wanakatisha sana tamaa,yani wanaona nina pesa kwa kuwa nimejenga kwa mbao hawajui kuwa nilijipanga kwa mda mrefu sana,niamini mtu ukitaka kufanya chako usiangalie watu watasemaje,hili nimemjengea dogo afanye shughuli zake za ufundi simu.

Nawasilisha ndugu zangu...
Tatizo mwandiko tu...
 
View attachment 2449076View attachment 2449077

Kama picha inavyojionyesha,nimejenga hili banda kwa kutumia mbao mwanzo mwisho,wengine wananiambia ni gejenga banda la chuma,wengine wananiambia nimetumia gharama sana kujenga banda hili maana mbao zimekuwa ghari,wabongo wanakatisha sana tamaa,yani wanaona nina pesa kwa kuwa nimejenga kwa mbao hawajui kuwa nilijipanga kwa mda mrefu sana,niamini mtu ukitaka kufanya chako usiangalie watu watasemaje,hili nimemjengea dogo afanye shughuli zake za ufundi simu.

Nawasilisha ndugu zangu...

Ulijipanga mda mrefu kutukia mbao kwa ajili gani? Mbao zinaongeza ufanisi au ni kutokujielewa?
 
View attachment 2449076View attachment 2449077

Kama picha inavyojionyesha,nimejenga hili banda kwa kutumia mbao mwanzo mwisho,wengine wananiambia ni gejenga banda la chuma,wengine wananiambia nimetumia gharama sana kujenga banda hili maana mbao zimekuwa ghari,wabongo wanakatisha sana tamaa,yani wanaona nina pesa kwa kuwa nimejenga kwa mbao hawajui kuwa nilijipanga kwa mda mrefu sana,niamini mtu ukitaka kufanya chako usiangalie watu watasemaje,hili nimemjengea dogo afanye shughuli zake za ufundi simu.

Nawasilisha ndugu zangu...
Uzi tyr šŸ™
 
View attachment 2449076View attachment 2449077

Kama picha inavyojionyesha,nimejenga hili banda kwa kutumia mbao mwanzo mwisho,wengine wananiambia ni gejenga banda la chuma,wengine wananiambia nimetumia gharama sana kujenga banda hili maana mbao zimekuwa ghari,wabongo wanakatisha sana tamaa,yani wanaona nina pesa kwa kuwa nimejenga kwa mbao hawajui kuwa nilijipanga kwa mda mrefu sana,niamini mtu ukitaka kufanya chako usiangalie watu watasemaje,hili nimemjengea dogo afanye shughuli zake za ufundi simu.

Nawasilisha ndugu zangu...
Naliona kama halina paa, vipi hiki kipindi cha mvua, litahimili kishindo?
 
Back
Top Bottom