Mi anisaidie tu kibarua tu kwa wiki mbili zilizobaki za Likizo...nimelala sina cha kufanya kabisa hapa😔Matajiri wanakawaida ya kuchanganyikiwa kidogo. Broh unanyota ya utajiri. Check unavyoji-quote na kujijibu.
Asikose kibali Cha usafrishaji wa mbao, hawana dogo kinaweza kikabaki hukohukoKama wanaolishangaa wapo wengi,mwakani lipeleke sabasaba maonesho, unaweza ukapiga hela.
Nashukuru nitafanya hivyooyep, wale wadudu wangese sana, wawahi kabla hawajakuwahi
Mimi nimeshangaa Sana hao wanaoshangaa hili Banda asee!!Kama wanaolishangaa wapo wengi,mwakani lipeleke sabasaba maonesho, unaweza ukapiga hela.
Kaamua kutusuuza macho tu bro,anaelishangaa ni yeye mwenyewe ila kalileta huku apate kampaniMimi nimeshangaa Sana hao wanaoshangaa hili Banda asee!!
Labda ametengeneza safinaMimi nimeshangaa Sana hao wanaoshangaa hili Banda asee!!
Au sisi htuna Macho ya rohoni labda. Usikute wenye macho ya rohoni wanaliona safina fulani hivi yenye unyama mwingi sn.Labda ametengeneza safina
Tatizo mwandiko tu...View attachment 2449076View attachment 2449077
Kama picha inavyojionyesha,nimejenga hili banda kwa kutumia mbao mwanzo mwisho,wengine wananiambia ni gejenga banda la chuma,wengine wananiambia nimetumia gharama sana kujenga banda hili maana mbao zimekuwa ghari,wabongo wanakatisha sana tamaa,yani wanaona nina pesa kwa kuwa nimejenga kwa mbao hawajui kuwa nilijipanga kwa mda mrefu sana,niamini mtu ukitaka kufanya chako usiangalie watu watasemaje,hili nimemjengea dogo afanye shughuli zake za ufundi simu.
Nawasilisha ndugu zangu...
View attachment 2449076View attachment 2449077
Kama picha inavyojionyesha,nimejenga hili banda kwa kutumia mbao mwanzo mwisho,wengine wananiambia ni gejenga banda la chuma,wengine wananiambia nimetumia gharama sana kujenga banda hili maana mbao zimekuwa ghari,wabongo wanakatisha sana tamaa,yani wanaona nina pesa kwa kuwa nimejenga kwa mbao hawajui kuwa nilijipanga kwa mda mrefu sana,niamini mtu ukitaka kufanya chako usiangalie watu watasemaje,hili nimemjengea dogo afanye shughuli zake za ufundi simu.
Nawasilisha ndugu zangu...
Kutakuwa na kitu cha ziada aiseeAu sisi htuna Macho ya rohoni labda. Usikute wenye macho ya rohoni wanaliona safina fulani hivi yenye unyama mwingi sn.
Uzi tyr 🙏View attachment 2449076View attachment 2449077
Kama picha inavyojionyesha,nimejenga hili banda kwa kutumia mbao mwanzo mwisho,wengine wananiambia ni gejenga banda la chuma,wengine wananiambia nimetumia gharama sana kujenga banda hili maana mbao zimekuwa ghari,wabongo wanakatisha sana tamaa,yani wanaona nina pesa kwa kuwa nimejenga kwa mbao hawajui kuwa nilijipanga kwa mda mrefu sana,niamini mtu ukitaka kufanya chako usiangalie watu watasemaje,hili nimemjengea dogo afanye shughuli zake za ufundi simu.
Nawasilisha ndugu zangu...
Jamii panafurahisha sana yani utakacholeta kina kuwa na CommentUzi tyr 🙏
Unashangaa ni iMimi nimeshangaa Sana hao wanaoshangaa hili Banda asee!!
HahahahaKama wanaolishangaa wapo wengi,mwakani lipeleke sabasaba maonesho, unaweza ukapiga hela.
Naliona kama halina paa, vipi hiki kipindi cha mvua, litahimili kishindo?View attachment 2449076View attachment 2449077
Kama picha inavyojionyesha,nimejenga hili banda kwa kutumia mbao mwanzo mwisho,wengine wananiambia ni gejenga banda la chuma,wengine wananiambia nimetumia gharama sana kujenga banda hili maana mbao zimekuwa ghari,wabongo wanakatisha sana tamaa,yani wanaona nina pesa kwa kuwa nimejenga kwa mbao hawajui kuwa nilijipanga kwa mda mrefu sana,niamini mtu ukitaka kufanya chako usiangalie watu watasemaje,hili nimemjengea dogo afanye shughuli zake za ufundi simu.
Nawasilisha ndugu zangu...