Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Nikitokea Morogoro kuelekea Iringa alfajiri ya leo mwanzoni mwa hifadhi ya mikumini nikakutana na joka kubwa limetulia barabarani, niliyekuwa naye akashauri tusiligonge akaanza kunipa Visa vya koboko aka black mamba kuwa unaweza kumkosa akajificha kwenye uvungu wa gari ukishuka anakugonga.
Nikaona sio kesi, nikashuka nikachukua jeki, nikamtandika mgongoni nadhani nilivunja kabisa uti wa mgongo akawa anarandaranda tu pale nikatafuta kipande cha fimbo nene nikamtandika kichwa shughuli ikaisha nikamtupa pembeni safari ikaendelea.
Nyoka yoyote anayekatisha mbele yangu huwa nampelekea moto bila kujali yuko eneo gani, nyoka ni nyoka tu hata kama ni wa royo tuwa.
Nikaona sio kesi, nikashuka nikachukua jeki, nikamtandika mgongoni nadhani nilivunja kabisa uti wa mgongo akawa anarandaranda tu pale nikatafuta kipande cha fimbo nene nikamtandika kichwa shughuli ikaisha nikamtupa pembeni safari ikaendelea.
Nyoka yoyote anayekatisha mbele yangu huwa nampelekea moto bila kujali yuko eneo gani, nyoka ni nyoka tu hata kama ni wa royo tuwa.