The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Huyo nyoka itakua alikua amejichokea au kameza kiumbe hawezi kusogea. Asingekuachia nafasi umsogelee zingatia jeki ni fupi inamaana Hadi umpige, ulimkaribia sana.
Na kama hakua na madhara, kwanini umuue? Si ungepita pembeni tu uendelee na safari Yako?
Na kama hakua na madhara, kwanini umuue? Si ungepita pembeni tu uendelee na safari Yako?